Ya Francis Nanai na ukachero bobevu wa maslahi ya chama uliopo na utakaoendelea kuwepo ndani ya CCM

Francis Nanai ni mtu ambae ameshangazi watu wengi sana. Alikuwa CEO wa Mwananchi Communications Limited ambao ni wachapishaji wa magazeti The Citizen na Mwananchi. Mwezi July aliacha kazi na kuibukia kwenye watia nia wa Jimbo la Kawe kupitia CCM.

Swali: Mshahara wa CEO wa Mwananchi Communications Limited ni mdogo zaidi ya mshahara wa Mbunge?

 
Duuu aisee kura 5? Ni msukuma huyu naona wanajipanga. Nani kaibuka kidedea kawe? Wekeni matokeo
 
Kura za maoni jimbo la kawe mshindi n jacob furaha kapata kura 101.
 
Alidhania maisha ya kiCCM ni rahisi rahisi eeeh. Leo kashikishwa adabu pale Kawe. Kaambulia kura tano za makada wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…