Elections 2010 Ya Gazeti la Raiamwema na makala za Mbwambo; Tujadili hoja


Too shallow as an article!!! Kwa bahati mbaya sana hii article imeonyesha uwezo wako mdogo wa kujenga hoja. Kumuandika na kumkosoa Kikwete ndo kukosa maadili ya uandishi?
 

you are junior in the site as well as your thinking....think of your family and relatives in your village. Wewe ndiyo mwenye agenda ya siri na JK kwa kumpa sifa asizostahili:A S-rap:
 
ukweli niuonao, kwanza kagame si rais wangu lakini si haki "kumtukana" eti aje ajifunze jinsi ya kujenga chuo UDOM. Nahisi TAFAKARI wewe ni mbayuwayu wa kuchangilia bila kutafakari kwa kina mambo.
kwangu uongozi wa nchi mzuri kwanza ni kuimarisha uchumi. pamoja na udogo wa rwanda, kutokuwa na maliasili kama tanzania ilivyojaliwa, rwanda chini ya kagame uchumi umestawi saaaaana licha ya kutoka kwenye mauaji.
JK na serikali yake wanapaswa kwenda kujifunza kwa kagame mbinu alizotumia mpaka kuinua uchumi kiasi hicho. Nasema ni upumbavu kukataa ukweli kwamba Rwanda inapiga hatua kwa kasi wakati TZ tunaendeleza na kukumbatia ufisadi, kukosa dira, kuweka chuki na Rwanda kwa sababu za kisiasa. Tunajua sana uhusiano wa TZ na Rwandwa siku hizi si mzuri sana lakini tatizo ni JK na wivu kwa Kagame jinsi anavyojenga nchi yake
 
Raisi kuwafanyia mambo mazuri watu wake siyo hisani ni wajibu..pia yeye ndiye aliyeomba kuwa raisi wetu , hakuja kubahatisha uongozi. Kwa hiyo kama anafanya mambo ya kuumiza wananchi lazima asemwe, hata akina Obama kila siku wanasemwa vibaya itakuwa JK! JK yeye anajua ni ukweli ndio maana Mbwambwo hakamatwi kwa anayosema. Jifunze siyo kusifiasifia tuu hata pasipostahili. Unajua hata jambazi kwao analisha watoto na kuwapa hela ya shule ingawa watoto wakafurahi huku hawajui zimetoka wapi, Ila wakijua zinatoka wapi wanaweza zikataa.
 
Ni mtu mwenye uvivu wa Fikra tu anayeweza kuwaza kwa namna yako...hujui kujenga hoja,unaongozwa na hisia binafsi...wewe ndo ulistahili kuhoji ubora wa maisha kwenye serikali ya Jk kwa kua hata uwezo wako wa kufikiri unaonesha bado miaka kumi kuona nuru..Mwambo ni mwanishi makini sina shaka na hilo..hatobadilisha misingi yake ya uandishi wala kuktetemekea wenye dola kama vibaraka wachache mlioahidiwa vyeo uchwara...tafuta takwimu sahihi ili uzungumzie maendeleo ya Rwanda!
 
Walewale!!! unasifia mlio wa gari kwa exhaust kubwa na sio mwendo wa gari? sijui watu watabadilika lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…