Kijuram
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 513
- 374
Kati ya wachezaji waliocheza mpira kuanzia miaka ya 1985 kuendelea, wachezaji wafuatao ni ngumu sana kuwafananisha na mastaa wa sasa wa hapa kwetu;
Hamisi Gaga
Athumani China
Zamoyoni Mogella
Hussein Marsha
Saidi Mwamba
Edibily Lunyamila
Method Mogella
George Masatu
Hawa jamaa walijuwa wanaujua kweli.
Hamisi Gaga
Athumani China
Zamoyoni Mogella
Hussein Marsha
Saidi Mwamba
Edibily Lunyamila
Method Mogella
George Masatu
Hawa jamaa walijuwa wanaujua kweli.