Katika wimbo wake wa 'what's my name' kuna sehemu mgumu huyu (dmx) anasema;
"Look at all these off‐brand niģgaz runnin' around yappin' about they be holding figures as big as jigga's"! Halafu kuna sauti inasindikiza hiyo verse inasema, "that's the bullshit"!
Nimejikuta tu nakumbuka siku chache nyuma hao jamaa zangu walivyokuwa na nguvu, kujiamini na kujihisi wako sawa kinguvu na jpm kiasi kwamba waliweza kuwatisha wastaafu wakubwa tu na wengine kufikia kuwadharau wakubwa wao na kujimwambafai kuwa wao wanajiamini zaidi kuliko wao. Ilikuwa hatari sana!!
'That's the bulshit' inaonekana sasa baada ya mambo kubadirika ghafla.....adabu inaanza kurudi katika mkondo wake.
r.i.p DMX
NJE YA MADA KIDOGO!
Mama unamuhitaji Makonda. Atakufaa; atakurahisishia kazi!
"Look at all these off‐brand niģgaz runnin' around yappin' about they be holding figures as big as jigga's"! Halafu kuna sauti inasindikiza hiyo verse inasema, "that's the bullshit"!
Nimejikuta tu nakumbuka siku chache nyuma hao jamaa zangu walivyokuwa na nguvu, kujiamini na kujihisi wako sawa kinguvu na jpm kiasi kwamba waliweza kuwatisha wastaafu wakubwa tu na wengine kufikia kuwadharau wakubwa wao na kujimwambafai kuwa wao wanajiamini zaidi kuliko wao. Ilikuwa hatari sana!!
'That's the bulshit' inaonekana sasa baada ya mambo kubadirika ghafla.....adabu inaanza kurudi katika mkondo wake.
r.i.p DMX
NJE YA MADA KIDOGO!
Mama unamuhitaji Makonda. Atakufaa; atakurahisishia kazi!