PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaOgopa Sana mitandao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaOgopa Sana mitandao
Na wewe tumia pia.Tumia akili
Ndo maana ya ule usemi wa tufungue kwa Maombi na tufunge kwa Maombi,hivyo MC Washawasha amefunga tena kwa Kulia kama alivyo fungua!Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.
Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.
Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.
By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Nyie mishangazi mna matatizo sana basi tuNa wewe tumia pia.
Sana tu, utatusaidiaje sasaNyie mishangazi mna matatizo sana basi tu
Kula mlo kamiliSana tu, utatusaidiaje sasa
Mamako anakula kwanza?Kula mlo kamili
Nipe namba zakeNjoo mtombe Mamaangu
Msenge baridi tu wewe, kutomba unaweza?Nipe namba zake
Nipe namba niwapige threesome 😉Njoo nitombe na mimi
Kampige mamako na dada zako, kwani Huna?Nipe namba niwapige threesome 😉
Mi nampenda mamaako sikupendi weweNakupenda mume wangu, hii **** ni yako babaangu
Kampende mamako kwanza mpuuzi weMi nampenda mamaako sikupendi wewe
Sawa nimekubali njoo ghetto uninyonye sasaKipenzi usinifanyie hivyo daddie, nataka kukunyonya
Nimeku entertain vya kutosha mpumbavu weweSawa nimekubali njoo ghetto uninyonye sasa
Niko salama mkuu habari ya kwakoMkuu nakusalimu popote ulipo
Hii ni aibu! Ilitakiwa kuwa kinyume chake! Sasa kinachomliza hapo ni nini? Tena akiwa kapiga magoti, nyumbani kwa wazazi wa binti!!! Ni udhaifu mkubwa sana!Hawa wanaume wa Dar sijui wana nini kwenye vichwa vyao.
Yaani hapo hata papuchi itabidi uwe unalia ndo unapewa.
Sent using Jamii Forums mobile app