Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Honestly, kila binadamu mwenye utu ukiona jambo baya na la uonevu linamtokea mtu hujisikii vizuri.
Huyu kada wa Chadema naweza kusema, yupo tu kwenye siasa ila hazijui vizuri.
Siasa za nchi hii, ukizifanya kwa mihemko huwezi kupiga hatua. Kwanza hao unaodhani uko nao kwenye mapambano wengi wanapambania kitu ambacho huenda hukijui. Yuko wapi Alphonce Mawazo ambaye alikosana na maRCs, DC, RPC, RCO katika siasa zake?
Familia yake imebaki yatima tu, huku Mbowe na familia yake ndio kwanza wananunua majumba na kufurahia maisha Dubai.
Anyway, kuna babu yangu mmoja ambaye yeye akikuona unamtetea sana mtu, unamhurumia kwa vile anavyofanyiwa amekuwa akitoa kauli hiyo.
Kwamba wewe unamhurumia na kumtetea, Je, yeye mwenyewe amekwambia anaumia, na anajihurumia ?
Tumemtetea sana Nusrat Hanje alipowekwa mahabusu, leo katolewa huko na yuko na hao hao waliomweka. Tena haongei chochote kuwa aliteseka huko mahabusu.
Nchi hii unaweza kujikuta unapata stress na kukonda kwa kumtetea mtu, wakati mtu mwenyewe unaedhani anateseka ndio kwanza ananenepa.
Huyu kada wa Chadema naweza kusema, yupo tu kwenye siasa ila hazijui vizuri.
Siasa za nchi hii, ukizifanya kwa mihemko huwezi kupiga hatua. Kwanza hao unaodhani uko nao kwenye mapambano wengi wanapambania kitu ambacho huenda hukijui. Yuko wapi Alphonce Mawazo ambaye alikosana na maRCs, DC, RPC, RCO katika siasa zake?
Familia yake imebaki yatima tu, huku Mbowe na familia yake ndio kwanza wananunua majumba na kufurahia maisha Dubai.
Anyway, kuna babu yangu mmoja ambaye yeye akikuona unamtetea sana mtu, unamhurumia kwa vile anavyofanyiwa amekuwa akitoa kauli hiyo.
Kwamba wewe unamhurumia na kumtetea, Je, yeye mwenyewe amekwambia anaumia, na anajihurumia ?
Tumemtetea sana Nusrat Hanje alipowekwa mahabusu, leo katolewa huko na yuko na hao hao waliomweka. Tena haongei chochote kuwa aliteseka huko mahabusu.
Nchi hii unaweza kujikuta unapata stress na kukonda kwa kumtetea mtu, wakati mtu mwenyewe unaedhani anateseka ndio kwanza ananenepa.