Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,111
- 2,754
Hata YANGA leo walijua wangepata ushindi mzito sana lakini kilichowakuta kila mtu anajua, pia haitakuwa ajabu kwa kipigo kama hiki kuwashukia Chadema hapo OctoberChadema haiwezi kufa kwa style hii hata siku moja mkuu,imepitia kwenye nyakati ngumu na ikavuka....Mwaka huu CDM itapata wabunge wa kutosha sana!!