Ya Moto Moto: Clatous Chota Chama aongeza Mkataba na Simba SC kwa Miaka mingine Mitatu

Kwa hiyo mlikuwa mnasikilizia muingie kwenye makundi. Au baada ya kupata pesa ya kuingia kwenye makundi
Wasubirie wenye Simba SC yao hapa JF wakija watakujibu ila Mimi kama Mpemba nikiwa hapa Pemba sishabikii Simba SC wala Yanga SC nipo Kati.
 
Chama ameshaisha! Yupo Goigoi sana siku hizi!
Kweli kabisa hata sisi mashabiki wa mnyama tumeona Hilo ndio maana 3 tena kwake.Na ukitaka kujua kaisha kwelikweli angalia yale maasisti yake na yale mapasi mpenyezo anayopiga,utagundua huyu CCC kaisha,hata akienda utopoloni hatapata namba first eleven.
 
Wasubirie wenye Simba SC yao hapa JF wakija watakujibu ila Mimi kama Mpemba nikiwa hapa Pemba sishabikii Simba SC wala Yanga SC nipo Kati.
We siyo shabiki,Bali unashangilia timu inayoshinda.na km uko katikati basi ww unatumika nyuma na mbele.🤣🤣🤣🤣
 
Watamsajili chama mwingine anefahamika"Kandambili Cretos Chama"wa kwa Buza kwampalange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…