MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Wasubirie wenye Simba SC yao hapa JF wakija watakujibu ila Mimi kama Mpemba nikiwa hapa Pemba sishabikii Simba SC wala Yanga SC nipo Kati.Kwa hiyo mlikuwa mnasikilizia muingie kwenye makundi. Au baada ya kupata pesa ya kuingia kwenye makundi