Ya Ukraine yametokea na Gaza.Kamanda aliyekufa tangu 2014 apatikana hai akiongoza mapambano.

Ya Ukraine yametokea na Gaza.Kamanda aliyekufa tangu 2014 apatikana hai akiongoza mapambano.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wafuatiliaji wa vita watakumbuka kule Ukraine siku jeshi la Zelensky lilipotangaza kifo cha kamanda wa jeshi la wanamaji wa Urusi,general SOKOLOV halafu siku ya tatu yake akaonekana yuko hai kwenye kikao akifuatilia mada ya mkutanoni.Kwa butwaa Ukraine ikasema ilikuwa ni picha yake kutoka chumba cha maiti kwa vile alikuwa haongei.
Kuna kamanda mwengine wa ngazi za juu wa Hamas ambaye kwa mbwembwe kubwa jeshi la Israel lilitangaza limemuua katika vita vya mwaka 2014 .Kamanda huyo ni Mohammed Sinwar ambaye ni ndugu wa kiongozi wa Hamas wa sasa huko Gaza,Yahya Sinwar.
Katika tangazo lake mwaka huo jeshi la Israel lilimuonesha Mohammed Sinwar akiwa maiti katikati ya dimbwi la damu na kutangaza ubora wa silaha zao usiokosea shabaha.
Kilichofuatia ni kuondoka kwenye fikra za watu kuhusu kamanda huyo ambaye katika vita vya mwaka 2011 alifanikisha pakubwa kuachiliwa kwa wafungwa 1000 nzima wa kipalestina kubadilishana na askari wa Israel,Gilad Shalit aliyekuwa akishikiliwa mateka.
Miongoni mwa wafungwa waliokuwa juu katika orodha ya mateka hao 1000 wa kipalestina ni Yahya Sinwar ambaye ndiye kiongozi wa sasa wa Hamas.
Baada ya tangazo hilo Mohammed alipotea machoni mwa wapalestina na hata miongoni mwa wanafamilia wake akiwa amejichimbia kwenye kazi zake za kiofisi
Miaka 10 mbele na kwa mshangao mkubwa baada ya shambulio la oktoba 7 jeshi la Israel limegundua kuwa Mohammed Sinwar bado yupo hai na kitengo chake cha kazi ni kile kile cha kuteka na kushikilia mateka katika vita pamoja na kutunza orodha za wafungwa wa kipalestina wanaotakiwa kubadilishana na mateka hao kutoka Israel
Hii kwa mara nyengine inadhihirisha kuwa jeshi la Israel na kitengo chake cha intelijensia cha Shinbet hawana uwezo wa Mungu wa kujua kila kitu kinachotokea miongoni mwao na jirani zake kama ambavyo wamekuwa wakisifiwa.Na kwamba wapalestina wamepata mbinu za kupambana nao.
Ushahidi mwengine ni kudukuliwa kwa mfumo wote wa ulinzi wa Israel mnamo tarehe 7 Oktoba na kufanikiwa kwa shambulio wenyewe waliloliita la kushtukiza kutoka kwa Hamas.

1699766743570.png

Hamas chief ‘back from dead’ to lead attack

 
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakirsto kuwa marafiki – wao kwa wao ni marafiki – na yeyote atakayewafanya marafiki basi yeye ni katika wao. Hakika Allaah haongoi watu madhalimu.” (05:51)
Sisi wenyewe tunajua ila tumefundishwa kuwapenda. Hatujafundishwa mafundisho ya kishetani ya kuwachukia ndio maana mkipata shida mnakumbilia ulaya na mnapokelewa ila sio uarabun
 
Nilikua napata shida nikidhani Israel ni machizi kwenye kupiga hospitali, lakini hii video ni dhahiri mnapaswa kupigwa

 
Nilikua napata shida nikidhani Israel ni machizi kwenye kupiga hospitali, lakini hii video ni dhahiri mnapaswa kupigwa

View attachment 2811139
Ulivyo kuwa Zuzu Ulipaswa uonyeshe Hio Hospital yaani Unaonyesha mateka Alie Pokea Kipigo
Sawa na ww Ukamatwe hapo Kibera Ufinywe hizo Kende zako Utaongea Kila Uongo Kuwaridhisha Watesi wako
 
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakirsto kuwa marafiki – wao kwa wao ni marafiki – na yeyote atakayewafanya marafiki basi yeye ni katika wao. Hakika Allaah haongoi watu madhalimu.” (05:51)
Inabidi hii aya wasomewe Saudi Arabia, UAE, Jordan na Egypt hao ndiyo wanawafanya Wayahudi marafiki zao🤣🤣

Hao wanne hawasikii hawaambiwi kitu kwa urafiki wao kwa Israel
 
Ulivyo kuwa Zuzu Ulipaswa uonyeshe Hio Hospital yaani Unaonyesha mateka Alie Pokea Kipigo
Sawa na ww Ukamatwe hapo Kibera Ufinywe hizo Kende zako Utaongea Kila Uongo Kuwaridhisha Watesi wako
Watu wajinga watabaki kuwa wajinga tu. Huwa Hawataki kujifunza.
Odama kwa kiasi kikubwa alifahamika aliko kutokana na wafuasi wake wa mbali na wa karibu kukamatwa mateka.
Mateka wanakuwa na faida kwa adui, ndiyo maana inashauriwa ujiue kuliko kutekwa , unaweza ukafanikiwa kuishi baada ya kutekwa lakini hasara ni kubwa hasa aliyetekwa kama ana taarifa nyingi za jeshi au kikundi chake.
 
Watu wajinga watabaki kuwa wajinga tu. Huwa Hawataki kujifunza.
Odama kwa kiasi kikubwa alifahamika aliko kutokana na wafuasi wake wa mbali na wa karibu kukamatwa mateka.
Mateka wanakuwa na faida kwa adui, ndiyo maana inashauriwa ujiue kuliko kutekwa , unaweza ukafanikiwa kuishi baada ya kutekwa lakini hasara ni kubwa hasa aliyetekwa kama ana taarifa nyingi za jeshi au kikundi chake.
Alijulikana kuwa amekufa zamani halafu wakacheza sinema ya kumuua
 
Ulivyo kuwa Zuzu Ulipaswa uonyeshe Hio Hospital yaani Unaonyesha mateka Alie Pokea Kipigo
Sawa na ww Ukamatwe hapo Kibera Ufinywe hizo Kende zako Utaongea Kila Uongo Kuwaridhisha Watesi wako

Wewe nilitegemea uvae likanzu ijumaa uandamane kisa magaidi yenu yanauliwa, umebaki kuandika andika uharo humu, na mtapigwa sana pumbavu.
 
Wafuatiliaji wa vita watakumbuka kule Ukraine siku jeshi la Zelensky lilipotangaza kifo cha kamanda wa jeshi la wanamaji wa Urusi,general SOKOLOV halafu siku ya tatu yake akaonekana yuko hai kwenye kikao akifuatilia mada ya mkutanoni.Kwa butwaa Ukraine ikasema ilikuwa ni picha yake kutoka chumba cha maiti kwa vile alikuwa haongei.
Kuna kamanda mwengine wa ngazi za juu wa Hamas ambaye kwa mbwembwe kubwa jeshi la Israel lilitangaza limemuua katika vita vya mwaka 2014 .Kamanda huyo ni Mohammed Sinwar ambaye ni ndugu wa kiongozi wa Hamas wa sasa huko Gaza,Yahya Sinwar.
Katika tangazo lake mwaka huo jeshi la Israel lilimuonesha Mohammed Sinwar akiwa maiti katikati ya dimbwi la damu na kutangaza ubora wa silaha zao usiokosea shabaha.
Kilichofuatia ni kuondoka kwenye fikra za watu kuhusu kamanda huyo ambaye katika vita vya mwaka 2011 alifanikisha pakubwa kuachiliwa kwa wafungwa 1000 nzima wa kipalestina kubadilishana na askari wa Israel,Gilad Shalit aliyekuwa akishikiliwa mateka.
Miongoni mwa wafungwa waliokuwa juu katika orodha ya mateka hao 1000 wa kipalestina ni Yahya Sinwar ambaye ndiye kiongozi wa sasa wa Hamas.
Baada ya tangazo hilo Mohammed alipotea machoni mwa wapalestina na hata miongoni mwa wanafamilia wake akiwa amejichimbia kwenye kazi zake za kiofisi
Miaka 10 mbele na kwa mshangao mkubwa baada ya shambulio la oktoba 7 jeshi la Israel limegundua kuwa Mohammed Sinwar bado yupo hai na kitengo chake cha kazi ni kile kile cha kuteka na kushikilia mateka katika vita pamoja na kutunza orodha za wafungwa wa kipalestina wanaotakiwa kubadilishana na mateka hao kutoka Israel
Hii kwa mara nyengine inadhihirisha kuwa jeshi la Israel na kitengo chake cha intelijensia cha Shinbet hawana uwezo wa Mungu wa kujua kila kitu kinachotokea miongoni mwao na jirani zake kama ambavyo wamekuwa wakisifiwa.Na kwamba wapalestina wamepata mbinu za kupambana nao.
Ushahidi mwengine ni kudukuliwa kwa mfumo wote wa ulinzi wa Israel mnamo tarehe 7 Oktoba na kufanikiwa kwa shambulio wenyewe waliloliita la kushtukiza kutoka kwa Hamas.

View attachment 2811123

Hamas chief ‘back from dead’ to lead attack

Huyo Mudi Sinwar Wala Israel haikutangaza Bali Hamas wenyewe ndio walitangaza ili kumlinda baada ya kuona anawindwa sana na Assassination squad ya IDF, kawapotoshe wafuasi wenzako wa munyaazi ambao hawapendi kushughulisha bongo zao
 
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakirsto kuwa marafiki – wao kwa wao ni marafiki – na yeyote atakayewafanya marafiki basi yeye ni katika wao. Hakika Allaah haongoi watu madhalimu.” (05:51)
Ukiwa hater wa aina hii hata wale waliokuwa wanakuonea huruma na kukuunga mkono watakuacha uendelee kula kichapo. Uwezo hamna ila kutwa nzima kujazana ujinga, kueneza chuki na kupeana matumaini hewa. Ndiyo maana MK254 anakutukaneni sana humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom