Yaani from nowhere anatuma hii picha na kuuliza "Unaiweza Hii Style?"

Yaani from nowhere anatuma hii picha na kuuliza "Unaiweza Hii Style?"

Sasa wewe na huyo aliyekutumia hiyo picha mnatofauti gani? hata wewe umeituma huku! halafu kwa mujibu wa bandiko lako,huyo aliyekutumia picha sio type yako,so ina maana angekua wa type yako hiyo picha ingekua poa tu kutumiwa?

Kingine huyo mwanaume alikuona tabia yako ndio maana akawa comfortable kukutumia hiyo picha,ungejiweka kiheshima asingethubuku kufanya hivyo,jiheshimu,heshimu wenzako ndipo utakapo heshimiwa.
 
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
Una mihemko
Hakuna picha
Maana ya kawa
Haina mikunjo
Mikunjo yetu
Tuwapo gheto
Tuliza mshono
Tuliza nyegezo
Picha si lolote
Hisiazo ni ngono
Ndo sababu yake
Wakurupuka tu
Punguza mhemko
Picha ya kawa tu

Bazazi
 
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
Avatar yako tu jamani, mi hoi!
 
Kaanzia mbali kweli chai kama zote ungesema kwa kifupi tu kuwa "hiyo stylle wadada wenzangu mnaipenda??"
 
Kesho ulete uzi ukiwasifia na jinsi unavyojichekea hovyo kama mwehu kwa wale unaowakubalia.

Wewe ni type ya wanawake wanaotangazaga kutongozwa (wale usiowapenda) kumbe ni malaya wa kawaida kabisa.

Unajifanya una adabu umejuaje kuwa style hiyo imatengua kiuno. Wanawake wa uswazi taabu Sana.
Naunga mkono hoja, mwanamke anayewatangaza vibaya wanaume wanaowatongoza iwe verbal or non verbal huwa siwasikilizi unless awe bikra, hajawai kumvulia mwanaume yoyote kyup!
 
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
Hip ni yoga tu
 
Unatafuta huruma tu hapa, ww ni mtu mzima ulicho shindwa kunielewa ni kitu gani sasa??? Jitu zima ovyo kweli sikudhani kama una akili za kitoto namna hii....
 
Ningelikuwa ndiye niliyekutumia hiyo picha wallah ningelikulala!

Umekaa mjni bwerere hata haujifunzi jinsi mfumo mzima wa mapenzi ulivyo!

Unawezaje kumtukana mtongozaji? Hiyo hasira uliitoa wapi?

Wenzako wasipotongozwa hujisunda kwa waganga wa jadi matapeli kuliwa hela na wakitongozeka hufurahi na kukenua meno kwa furaha!

Wewe una nini cha ziada ya mwanamke?
Hata bikira haikupi jeuri ya kujivuna na kufokea watu wasikutongoze!

Ukali wako huo kwangu ingelikuwa ni fursa ya kukupata! Ningeliweka mazingira ili matusi yako hayo yapate ushahidi wa kunidhalilisha mahakamani.

Ndiyo hapo ungeniomba kesi iishie nje ya mahakama kwa kuvuliana chupi.

Nisinge kuogopa kwa cheo, nisingelikuhurumia wala kukuonea aibu, lazima ningelikulala kwa ridhaa yako na usingeleta mada yako hapa kamwe.

Huyo kijana aliogopa kwamba katongoza mkaguzi!

Kwangu mimi hata ungelikuwa ni waziri ungenyoosha maneno tu.
 
kwa kuwa hiyo picha haionyesi tendo la ngono likifanyika acha niamini ya kwamba huyo jamaa amekusudia style ya mazoezi ya viungo 😎😎😎
 
Sasa wewe na huyo aliyekutumia hiyo picha mnatofauti gani? hata wewe umeituma huku! halafu kwa mujibu wa bandiko lako,huyo aliyekutumia picha sio type yako,so ina maana angekua wa type yako hiyo picha ingekua poa tu kutumiwa?

Kingine huyo mwanaume alikuona tabia yako ndio maana akawa comfortable kukutumia hiyo picha,ungejiweka kiheshima asingethubuku kufanya hivyo,jiheshimu,heshimu wenzako ndipo utakapo heshimiwa.
Kwaiyo na yeye ameituma huku, Kwa kuwa jf ndo type yake, au members wa jf ndio type yake.
 
Wanaume wengine sijui wakoje. Huyu kaka nmefahamiana naye kwa mambo ya kazi tu na sikuwa na ukaribu naye wala mazoea. Katika kufahamiana huko kikazi tukawa tume exchange biz cards. Maana mimi nawafanyia auditing kwenye Kampuni yao.

Jana katuma hii picha na kuuliza "unaiweza hii style?" Nliamua kumpigia na kumwuliza anawezaje tuma picha na maneno kama yale kwangu. Akajitetea kuwa alituma kimakosa. Nikamhoji zaidi ametuma two hours ago inakuaje anashindwa kuelewa kuwa amekosea?

Of course nilimwambia asije akakosea tena kutuma mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye namba yangu maana nitamchukulia hatua za kinidhamu.akaomba msamaha.

Akina kaka mjiheshimu si kila mwanamke ni wa type hizo... Kaa msome mwanamke kwanza na si kukurupuka tu. By the way hii style ya kutenguana nyonga mnaitaka ya nini?kanunueni midoll ipo so flexible.pumbavu nyie... Mnataka muwakunje watoto wa wenzenu kama wao ni vitendwa kazi.

View attachment 1165256
Pambaffff wee usichojua hapo ni nini?
 
Back
Top Bottom