KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Waonaje tukienda sote..😉Nenda tu tena taraka zao zinatolewa kirahis unaweza oa asubuh ukampata taraka mchana, jion ukaoa mwingne. Ila bado haizuii kuchepuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waonaje tukienda sote..😉Nenda tu tena taraka zao zinatolewa kirahis unaweza oa asubuh ukampata taraka mchana, jion ukaoa mwingne. Ila bado haizuii kuchepuka
Et eenh!!? Tatzo niliisha shindwa kuhandle mwanamke zaid ya mmoja kwa wakat mmoja et.Waonaje tukienda sote..😉
Mkuu huko tutafunzwa Sasa si Kuna mafunzo ya mtume!..😂Et eenh!!? Tatzo niliisha shindwa kuhandle mwanamke zaid ya mmoja kwa wakat mmoja et.
Twende ili nimwambie ninae ende kumuoa kwenye mahar aseme nitoe qoran tu . Dah maisha yamekuwa magum ile mil 3 ambayo wazazi wangeisema tukafanyie biasharaMkuu huko tutafunzwa Sasa si Kuna mafunzo ya mtume!..😂
Wivu tuuHapo unaweza kuta ni dada zake hao
KudadekiWana chura?
Nabii Suleiman alikuwa na wake 700 lkn hakutosheka akaongeza michepuko 300.Basi wewe ni bonge la mshambaView attachment 1570897