Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Yaani Joshua na Clemence wamefariki ila ni kama hakuna kilichotokea. Are we Hamas sympathisers?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hawa ndio Watanzania waliotekwa na magaidi wa Hamas

Hatimae hamas wamefanya kile wanachoweza vizuri, unyama na ukatili. Madogo wamekufa, assets za taifa katika kilimo zimepotea ila maisha yanaendelea ni kama hakuna kilichotokea.

Vinavyotrend ni misso missondo, walioenda dubai, mademu wa chongolo na muendelezo wa kushare picha za makalio makubwa.

Unajiuliza maswali mengi, tumepoteza vijana wawili wakiwa chini ya utekaji wa kundi lenye misimamo ya kigaidi lakini wanatusemea na kulaani ni watu wa mataifa ya nje ila huku kwetu inachezwa downlow kama vile hakuna spark yoyote.

Kama vile ilivyo jadi yetu tangu enzi kuzoea matatizo na ujinga wetu sasa hapa napo inatumika fursa hii ili waru wapotezee kiaina na maisha yaendelee. Yani tunaona kawaida tu lakini ipo siku itakuwa juu yako alafu uone jinsi mamlaka na jamii wanavyopotezea ishu yako then usikilizie maumivu na uchungu.

Clemence na Joshua, rest easy fellas.
 
Sasa kwa akili za kawaida unafikili tungefanyaje? Unaowasema wamefanya unyama huo Kisasi kinawatafuna mpaka sasa hivi hadi watoto wadogo. Ni bora kunyamaza na kuwaombea hiyo nayo ni siraha tosha.
 
Inasikitisha kuwa ndugu zetu wamepatwa majanga katika mgogoro huo. Ila nimesikitishwa na judgement yako juu ya HAmas kuwa ni kundi la kigaidi. HAmas ya Sasa ni sawa na kina FLERIMO,ANC,TANU,KANU n.k

Ni watu. Wanaopambana kudai hai zao za msingi ktika ardhi ambayo wameishi karne na Karne. Leo hii wananyang'anganywa na kulazimishwa kuondoka! Labda utasema kuwa hao ni mayahudi na wao ndio wenye haki ya ardhi (kwa mujibu wa biblia/msahafu na historia za dini za Ibrahim) lakini tunapaswa tuangalie mahitaji ya Dunia ya sasa.

Je ni sahihi wazungu wate waliopo bara ya Amerika kusini na Kaskazini warudi Ulaya kwenye asii yao? Na wabaki wahindi wekundu? Au ni sahihi watu weusi waliopo huko warudi Afrika? Israeli ikubali kuwepo wa mataifa mawili na ndio suluhisho la kudumu. Wanachofanya HAmas ni matokeo ya chuki dhidi ya unyanyasaji,ukatili na uuaji wanaofanyiwa.

Mpunzike kwa amani kama mmefariki Joshua na Clemence na kama mko hai Mwenyezi Mungu awape uzima na usalama.

Amen
 
Inasikitisha kuwa ndugu zetu wamepatwa majanga katika mgogoro huo. Ila nimesikitishwa na judgement yako juu ya HAmas kuwa ni kundi la kigaidi. HAmas ya Sasa ni sawa na kina FLERIMO,ANC,TANU,KANU n.k

Ni watu. Wanaopambana kudai hai zao za msingi ktika ardhi ambayo wameishi karne na Karne. Leo hii wananyang'anganywa na kulazimishwa kuondoka! Labda utasema kuwa hao ni mayahudi na wao ndio wenye haki ya ardhi (kwa mujibu wa biblia/msahafu na historia za dini za Ibrahim) lakini tunapaswa tuangalie mahitaji ya Dunia ya sasa.

Je ni sahihi wazungu wate waliopo bara ya Amerika kusini na Kaskazini warudi Ulaya kwenye asii yao? Na wabaki wahindi wekundu? Au ni sahihi watu weusi waliopo huko warudi Afrika? Israeli ikubali kuwepo wa mataifa mawili na ndio suluhisho la kudumu. Wanachofanya HAmas ni matokeo ya chuki dhidi ya unyanyasaji,ukatili na uuaji wanaofanyiwa.

Mpunzike kwa amani kama mmefariki Joshua na Clemence na kama mko hai Mwenyezi Mungu awape uzima na usalama.

Amen
Inawezekana hawa jamaa wakawa hai ?[emoji848]nasikia majeneza hayafunuliwa au stori flani tu za kijiweni
 
Mkuu marekebisho tafadhali ila si kwa ubaya:

1. Pana mateka waliripotiwa kufa wakawa wazima; tusubiri hata hao wenzetu wanaweza kuwa wangalipo.

2. Israel anarusha makombora bila kujali kuna wengi wasio na hatia Gaza wakiwamo mateka tokea Oct 7 kwenye eneo dogo kuliko dar na kila siku; kwa nini hudhani huyu katuulia pia ndugu zetu kwenye huu wendawazimu wake?

3. Israel ameanza kujaza maji kwenye mahandaki bila kujali ndugu za wahanga sisi tunasema je; ana uchungu gani na ndugu zetu huyu?

4. Oct. 7 akiwa kwenye mtafaruku na HAMAS Israel aliuwa watu hovyo; hata aliouwa Israel lawama ni Kwa HAMAS?

Inauma ila Israel hawezi kujivua lawama.

Wapumzike kwa amani kama wametangulia ila Israel ana kesi ya kujibu.
Lakin kwanini Hamas waliawaachia mataifa mengine ila hao wanafunz akawabakiza
 
Lakin kwanini Hamas waliawaachia mataifa mengine ila hao wanafunz akawabakiza

1. Hujui kama Hamas wako nao kwani Kuna waliokufa Oct 7 bado Israel ilisema ni kati ya mateka.

2. Kumbuka Kuna waliouwawa na Israel na makonbora yake kabla ya mpango wa kubadilishana watu.

3. Mateka walikuwa wanaachiliwa Kwa awamu.

4. Kabla ya awamu zote kwisha Israel akamua hamna haja anaweza kutumia mabomu hata wakifa sawa.

5. Zaidi sana Israel akaona Ili kuhakikishwa hawaponi kachagua ajaze maji ikiwezekana yenye chumvi Ili wafe kabisa!

6. Hadi hapo tu, ungali na lawama zipi Kwa Hamas?
 
Maisha lazima yaendele kafa magu na nchi haijasimama, hatuwezi kumdai muumba
 
Mkuu marekebisho tafadhali ila si kwa ubaya:

1. Pana mateka waliripotiwa kufa wakawa wazima; tusubiri hata hao wenzetu wanaweza kuwa wangalipo.

2. Israel anarusha makombora bila kujali kuna wengi wasio na hatia Gaza wakiwamo mateka tokea Oct 7 kwenye eneo dogo kuliko dar na kila siku; kwa nini hudhani huyu katuulia pia ndugu zetu kwenye huu wendawazimu wake?

3. Israel ameanza kujaza maji kwenye mahandaki bila kujali ndugu za wahanga sisi tunasema je; ana uchungu gani na ndugu zetu huyu?

4. Oct. 7 akiwa kwenye mtafaruku na HAMAS Israel aliuwa watu hovyo; hata aliouwa Israel lawama ni Kwa HAMAS?

Inauma ila Israel hawezi kujivua lawama.

Wapumzike kwa amani kama wametangulia ila Israel ana kesi ya kujibu.
Swali kwako ........kwenye October 7 ni Israel alivamia au alivamiwa?? Na kwanini lawama iwe kwa Israel na yeye hakuteka ??
 
Back
Top Bottom