Yaani Kipa John Noble Barinyima ameshamalizana na Kitayose FC ya Tabora, nyie 'mnahaha' Kuwapora ili aje achezee Simba SC

Yaani Kipa John Noble Barinyima ameshamalizana na Kitayose FC ya Tabora, nyie 'mnahaha' Kuwapora ili aje achezee Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu GENTAMYCINE akisema kuwa 75% ya Viongozi wa Simba SC ni Wahuni, Waswahili na Wapigaji mnakasirika.

Nasisitiza Kipa Mbrazili Jefferson Luis wala hajaumia vibaya kama mlivyotuzuga bali mmetengeneza hili Tukio kwakuwa mmegundua katokea Ligi Daraja la Nne huko Brazil hivyo hana Vigezo vya Kucheza Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania na pia Viongozi wa TFF wamewaambia mumuache haraka kwakuwa Yanga SC wanajiandaa Kuishtaki TFF huko FIFA baada ya kupata Uthibitisho kutoka Shirikisho la Soka la Brazil kuwa Kipa huyo Mbrazili hajatokea Ligi Daraja la Tatu kama mlivyolazimisha na Kutuaminisha bali anatokea Ligi Daraja la Nne la Brazil.

Hovyo kabisa. Na Uongozi wa Simba SC japo Mimi GENTAMYCINE ni mwana Simba SC na naipenda mno Simba SC yangu ila mkifanya tu Upumbavu ( Upopoma ) msitegemee nitawaacha bali nitawasiliba / nitawasema hadi mnyooke kwani Kwangu Mimi sina Msamiati wa Unafiki, Uwoga na Upendeleo.

Mmenikera sana.
 
Hizi team kwa Sasa hazina viongozi Zina wapiga deal waliojivika udikiteta wa ajabu
 
Halafu GENTAMYCINE akisema kuwa 75% ya Viongozi wa Simba SC ni Wahuni, Waswahili na Wapigaji mnakasirika.

Nasisitiza Kipa Mbrazili Jefferson Luis wala hajaumia vibaya kama mlivyotuzuga bali mmetengeneza hili Tukio kwakuwa mmegundua katokea Ligi Daraja la Nne huko Brazil hivyo hana Vigezo vya Kucheza Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania na pia Viongozi wa TFF wamewaambia mumuache haraka kwakuwa Yanga SC wanajiandaa Kuishtaki TFF huko FIFA baada ya kupata Uthibitisho kutoka Shirikisho la Soka la Brazil kuwa Kipa huyo Mbrazili hajatokea Ligi Daraja la Tatu kama mlivyolazimisha na Kutuaminisha bali anatokea Ligi Daraja la Nne la Brazil.

Hovyo kabisa. Na Uongozi wa Simba SC japo Mimi GENTAMYCINE ni mwana Simba SC na naipenda mno Simba SC yangu ila mkifanya tu Upumbavu ( Upopoma ) msitegemee nitawaacha bali nitawasiliba / nitawasema hadi mnyooke kwani Kwangu Mimi sina Msamiati wa Unafiki, Uwoga na Upendeleo.

Mmenikera sana.
1690785644755.png
 
Sasa ujifunze ukikerwa wewe yawe mavi ila wakikerwa wenzio kwa unachokisifia au wakitoa mtazamo tofauti pia uelewe. Hakunaga 1+1=2 kwenye mitizamo na fikra.
Imagine club yenye mbwembwe za super league inafanya upumbavu kama huo. Simba SC tuna promo za kijinga na bila umakini. Tanzania tantalila kabla ya ligi nyingi halafu ligi ikianza na droo au vipigo kilio Kila siku
 
Halafu GENTAMYCINE akisema kuwa 75% ya Viongozi wa Simba SC ni Wahuni, Waswahili na Wapigaji mnakasirika.

Nasisitiza Kipa Mbrazili Jefferson Luis wala hajaumia vibaya kama mlivyotuzuga bali mmetengeneza hili Tukio kwakuwa mmegundua katokea Ligi Daraja la Nne huko Brazil hivyo hana Vigezo vya Kucheza Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania na pia Viongozi wa TFF wamewaambia mumuache haraka kwakuwa Yanga SC wanajiandaa Kuishtaki TFF huko FIFA baada ya kupata Uthibitisho kutoka Shirikisho la Soka la Brazil kuwa Kipa huyo Mbrazili hajatokea Ligi Daraja la Tatu kama mlivyolazimisha na Kutuaminisha bali anatokea Ligi Daraja la Nne la Brazil.

Hovyo kabisa. Na Uongozi wa Simba SC japo Mimi GENTAMYCINE ni mwana Simba SC na naipenda mno Simba SC yangu ila mkifanya tu Upumbavu ( Upopoma ) msitegemee nitawaacha bali nitawasiliba / nitawasema hadi mnyooke kwani Kwangu Mimi sina Msamiati wa Unafiki, Uwoga na Upendeleo.

Mmenikera sana.
Pole ndugu yangu, vumilia yataisha tu
 
Back
Top Bottom