The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimejaribu kuwasikiliza hawa ndugu ukweli ni kwamba ni kama hawawezi kabisa kufanya kipindi pamoja kwani wana tofauti kubwa sana za kimitazamo na kimisimamo mmoja anajenga hoja kwa kutumia argument za kisomi na mwingine anajenga hoja akitegemea argument za kisela.
Mwajiri wao atafakari upya ili kuipanga timu yake vizuri.
Mwajiri wao atafakari upya ili kuipanga timu yake vizuri.