Yaani leo nimenawa Sanitizer mchanganyiko huko maofisini hadi mwili mzima unanukia Sabuni ya EVA

Yaani leo nimenawa Sanitizer mchanganyiko huko maofisini hadi mwili mzima unanukia Sabuni ya EVA

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Aisee!
Kama kunawa nimenawa leo aisee;

Kila ofisi kunawa! Kila chochoro ukipita kuna ndoo na sabuni!

Kibaya zaidi baadhi ya Sanitizer zina harufu kali sana kiasi cha kuleta allergy!

Michanganyiko ya Sanitizer ni pamoja Alcohol (pombe kali); kwahiyo kwa mipako hii ya sanitiser mbalimbali leo harufu yake imenifanya nijisikie kama kulewalewa kutokana na Alcoholic iliyomo, na mwili mzima hapa unanukia mchanganyiko wa manukato nyingiii kiasi cha kuunda harufu ya sabuni ya EVA!

Huko maofisini msiweke sanitizer zenye harufu kali jamani ni HATARI!!!
 
kenya huko wamekunywa kabisaa
Aisee!
Kama kunawa nimenawa leo aisee;

Kila ofisi kunawa! Kila chochoro ukipita kuna ndoo na sabuni!

Kibaya zaidi baadhi ya Sanitizer zina harufu kali sana kiasi cha kuleta allergy!

Michanganyiko ya Sanitizer ni pamoja Alcohol (pombe kali); kwahiyo kwa mipako hii ya sanitiser mbalimbali leo harufu yake imenifanya nijisikie kama kulewalewa kutokana na Alcoholic iliyomo, na mwili mzima hapa unanukia mchanganyiko wa manukato nyingiii kiasi cha kuunda harufu ya sabuni ya EVA!

Huko maofisini msiweke sanitizer zenye harufu kali jamani ni HATARI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_5112.JPG
IMG_5113.JPG

Ukisaga hii kitu inanukia kama sanitizer kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aisee!
Kama kunawa nimenawa leo aisee;

Kila ofisi kunawa! Kila chochoro ukipita kuna ndoo na sabuni!

Kibaya zaidi baadhi ya Sanitizer zina harufu kali sana kiasi cha kuleta allergy!

Michanganyiko ya Sanitizer ni pamoja Alcohol (pombe kali); kwahiyo kwa mipako hii ya sanitiser mbalimbali leo harufu yake imenifanya nijisikie kama kulewalewa kutokana na Alcoholic iliyomo, na mwili mzima hapa unanukia mchanganyiko wa manukato nyingiii kiasi cha kuunda harufu ya sabuni ya EVA!

Huko maofisini msiweke sanitizer zenye harufu kali jamani ni HATARI!!!

IMG_5113.JPG
IMG_5113.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom