Yaani Mauzo ya Msimu mzima wa 2020/21 ya Jersey za Yanga ilikuwa Milion 45?

Yaani Mauzo ya Msimu mzima wa 2020/21 ya Jersey za Yanga ilikuwa Milion 45?

dogo unaongea usichokijua. Tupe hizo clauses hapa tuzione. mkataba wa yanga na gsm ni 1300 kwa kila jezi na simba na vunja bei ni 1b kwa msimu na umewekwa wazi. hebu fafanua hizo clauses unazosema hapa kwa uwazi basi tuzijadili. ukweli ni kwamba yanga mna maneno tu vitendo ni zero

Tegemea blah blah tu,hakuna jibu la maaana utapata kwa Maswali magumu uliyouliza
 
Yanga wapate mkataba wa 2bn wakae kimya.Kuomba tenda Yanga hakuna uhusiano wowote na Tenda ya Simba! Kwamba kwakuwa aliomba Yanga akakosa kwa hiyo alivyokuja Simba akaomba terms ziwe sawa na za Yanga alikokosa tenda.Mkuu na sisi tunatumia akili kufikiria ujue[emoji3][emoji3]
Kwa hiyo wewe unaamini kwenye mkataba wa GSM na Yanga ni 1300 tu kwa jezi?
Hapo utakuwa unajidanganya.
 
Nianze kwa kukuuliza kwanza, Mo Sports umeuona mkataba wake na Simba ukiandikwa kwenye magazeti?
Wamechangia kiasi gani kwenye mkataba wa jezi? Na hizo hela zinaenda kwa SSc company limited au Vunjabei ?
Tujulishe hilo kwanza, kwa sababu wewe umesema kila kitu kipo wazi. tuonyeshe kwanza Mo Sports imeingia lini mkataba wa jezi na inanufaika vipi?
View attachment 1926093View attachment 1926093
Mkataba umeingiwa baina ya Simba Sports Club company limited na Vunja bei kwa dau la shilingi 1b kwa msimu. ni ajabu bado unahoji hela inaingia wapi hapo wakati mkataba ni wa pande mbili tu na sio zaidi ya hapo. Kumbuka simba kwa sasa ni kampuni
 
Mkataba umeingiwa baina ya Simba Sports Club company limited na Vunja bei kwa dau la shilingi 1b kwa msimu. ni ajabu bado unahoji hela inaingia wapi hapo wakati mkataba ni wa pande mbili tu na sio zaidi ya hapo. Kumbuka simba kwa sasa ni kampuni
Swali: Mo Sport ni kampuni ya nini?
Katika Jezi kuna Vunjabei kushoto kwenye collar, na Mo Sport kulia.
Vunjabei tunaijua ni kampuni ya kuuza nguo za lonya.
Je, Mo Sport ni kampuni ya nini? Wewe unajua uhusiano wa 21st Century Textiles (chini ya METL) na Mo Sport?
Mkuu hapo ni sarakasi tu, sema elewa kama ulivyoelewa, inatosha haitotusaidia sana kimaisha.
 
Hahahahah nilikutana Na wachezaji wa Yanga kwenye birthday ya shikalo....wengi wanashea mageto.....ndo Hawa waliopewa mil500 Kwa Mechi moja?
Au wewe unahisi tunaongelea Yanga ya Mars
Kuna mmoja anakaa tandika amepanga chumba kimoja (stoo) Kodi 30,000/=
 
mkataba wa iyo pesa ni wa miaka miwili,kila mwaka ni b1.hata kama atafanya mauzo ndo alipe kwa awamu lakini mwisho wa siku ni pesa zitakazoinufaisha timu.Simba kama club ya Tanzania imeonyesha kuwa jezi ni chanzo kizuri cha mapato ya club,Simba imeonyesha kuwa inawezekana na wengine waige tu akuna namna.
Hao hawanaga aibu kwenye kuiga ndio maana wanajifananisha na Simba wakati ni bahati wamekuta wanashiriki ligi moja na Simba ila siyo level ya Simba, utakumbuka Utopolo wameiga Simba day
 
Huo mkataba hauna tofauti na wa Yanga kwa taarifa yako.
Aliwahi kuomba tenda yanga kwanza, akakataliwa , GSM akashinda. ni vizuri kabla ya kusema eti tumepata bil 2 mkononi uangalie clauses za mikataba ya jezi na merchandise duniani huwa haitofautiani sana na siyo eti unapewa cash kiholela.
Uyo GSM ameshinda kwa shilingi ngapi
 
Daaahh.... Kila jersey ya Yanga moja yanga inapata faida ya Tsh 1,300. Msimu unaoisha Yanga iliingiza tsh 45,000,000 kupitia jersey. Kweli?

Kweli jamani Mnajua wakati mwingine mnasahau mnadhani watu wote walioko Yanga hawana Elimu au hawajitambui.

Mnatukosea sana. Mimi nasema hili kwa dhati kabisa. Mnatukosea sana sisi wananchi wenye uelewa. Haya bwana. Hamna shida. Kuna siku itanyesha tutajua panapovuja.

Mkataba wa yanga na Gsm ni kupewa M300 kila mwaka na kila jezi ikuzwa atapata 1300

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Hao hawanaga aibu kwenye kuiga ndio maana wanajifananisha na Simba wakati ni bahati wamekuta wanashiriki ligi moja na Simba ila siyo level ya Simba, utakumbuka Utopolo wameiga Simba day
wakati simba inafanya tamasha la 13 wao wanafanya tamasha la pili ila kelele kibao utafikiri wao ndio wameanzisha
 
Back
Top Bottom