Punguza presha .....kaa chini na uboreshe uandishi wako
Maswali kadhaa yakukuhoji
1.Wanajukwaa tukusaidie nn??
2.Hio huduma umetumia kwa muda ganii??
3.Kama kuna ofisi karibu au wahusika ulishajaribu kuonhea nao kwasababu kwa njia ya simu hupati ushirikiano??