GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nina Miaka 20 sasa sijamvunja Mtu Kolomero na kuyageuza Macho yake Kisogoni.
Sasa ole wake nione Askari yoyote Siku ya Jumamosi amakuja kunifuata GENTAMYCINE Uwanja wa Mkapa Kunikamata kwakuwa Mimi ni Mtanzania ( Shabiki wa Simba SC ) nimevaa Jezi ya Wageni Mamelodi Sundowns FC.
Uzalendo unaishia katika Timu ya Taifa tu huku katika Vilabu Kudadadeki zenu na PhD's zenu tusipangiane namna ya Kushangilia au nani wa Kumshangilia sawa?
Mamelodi Sundowns FC 4 na Fungulia Mbwa FC 0. Tafadhali elewa maana ya neno FUNGULIA MBWA 30,000.
Sasa ole wake nione Askari yoyote Siku ya Jumamosi amakuja kunifuata GENTAMYCINE Uwanja wa Mkapa Kunikamata kwakuwa Mimi ni Mtanzania ( Shabiki wa Simba SC ) nimevaa Jezi ya Wageni Mamelodi Sundowns FC.
Uzalendo unaishia katika Timu ya Taifa tu huku katika Vilabu Kudadadeki zenu na PhD's zenu tusipangiane namna ya Kushangilia au nani wa Kumshangilia sawa?
Mamelodi Sundowns FC 4 na Fungulia Mbwa FC 0. Tafadhali elewa maana ya neno FUNGULIA MBWA 30,000.