Yaani Tajiri mwenye Range Rover 'anamuovateki' Masikini mwenye Vitz kwenye Mteremko, halafu anajisifu bila Aibu kabisa

Yaani Tajiri mwenye Range Rover 'anamuovateki' Masikini mwenye Vitz kwenye Mteremko, halafu anajisifu bila Aibu kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Kupitia mashindano ya CAF, hatua hizi za awali, kuna ujumbe tunataka kuupeleka kwa wale ambao wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa AFRIKA. Tutatuma ujumbe ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja. Nje ya Uwanja tulituma ujumbe msimu uliopita kwa kujaza Uwanja wa ugenini" Ally Kamwe

Chanzo: Young Africans Sports Club

Mbona Timu yako ikiwa inakaribia Kucheza / Kukutana na Giants wa Afrika huwa hauji na hizi Tambo zako Uchwara?
 
"Kupitia mashindano ya CAF, hatua hizi za awali, kuna ujumbe tunataka kuupeleka kwa wale ambao wanapewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa AFRIKA. Tutatuma ujumbe ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja. Nje ya Uwanja tulituma ujumbe msimu uliopita kwa kujaza Uwanja wa ugenini" Ally Kamwe

Chanzo: Young Africans Sports Club

Mbona Timu yako ikiwa inakaribia Kucheza / Kukutana na Giants wa Afrika huwa hauji na hizi Tambo zako Uchwara?
Akikua ataacha
 
Akikua ataacha
Wakati mna ipamba Mamelody na kununua jezi Ally kamwe si aliwaonya mkawa mna kaza fuvu, Matokeo yake baada ya mechi zote mbili mkawa wadogo kama piriton.

Kwasasa Yanga Haina mkubwa apa Afrika ila wapo wakubwa wenzake ambao ni kati ya timu 3/4.

Mipango ya Yanga nikutawala Ligi ya mabingwa kama anavyo itawala NBC.
Ni swala la muda tu.
 
Wakati mna ipamba Mamelody na kununua jezi Ally kamwe si aliwaonya mkawa mna kaza fuvu, Matokeo yake baada ya mechi zote mbili mkawa wadogo kama piriton.

Kwasasa Yanga Haina mkubwa apa Afrika ila wapo wakubwa wenzake ambao ni kati ya timu 3/4.

Mipango ya Yanga nikutawala Ligi ya mabingwa kama anavyo itawala NBC.
Ni swala la muda tu.
Eti bado hawaogopi
 
Wakati mna ipamba Mamelody na kununua jezi Ally kamwe si aliwaonya mkawa mna kaza fuvu, Matokeo yake baada ya mechi zote mbili mkawa wadogo kama piriton.

Kwasasa Yanga Haina mkubwa apa Afrika ila wapo wakubwa wenzake ambao ni kati ya timu 3/4.

Mipango ya Yanga nikutawala Ligi ya mabingwa kama anavyo itawala NBC.
Ni swala la muda tu.
Nakazia
 
Back
Top Bottom