GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mimi ninachojua tu ni kwamba leo ndiyo tunaenda Kuachwa rasmi kwa Alama Nne (4) na Wao kuwa Mabingwa tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo wewe mimi nakukubali hapo tu.Mimi ninachojua tu ni kwamba leo ndiyo tunaenda Kuachwa rasmi kwa Alama Nne (4) na Wao kuwa Mabingwa tena.
Huyo ni kinyongaKolo wewe mimi nakukubali hapo tu.
Utaki unafki kabisa lazima useme ukwel.
Pomoja na hayo vipi game ya leo utaenda kuangalia au utatulia zako mapinga utaki tabu na mtu.
Hii hoja yako hapa watu wataipinga ila badae tuta ongea lugha mojaMimi ninachojua tu ni kwamba leo ndiyo tunaenda Kuachwa rasmi kwa Alama Nne (4) na Wao kuwa Mabingwa tena.
Nipo Kampala nchini Uganda tokea tarehe 9 April, 2024 na siko huko Tanzania ila Mpira nitausikiliza TBC Online baadae.Kolo wewe mimi nakukubali hapo tu.
Utaki unafki kabisa lazima useme ukwel.
Pomoja na hayo vipi game ya leo utaenda kuangalia au utatulia zako mapinga utaki tabu na mtu.
Sijawahi kamwe Kueleweka na Wapumbavu wa aina yako hapa JamiiForums tokea nijiunge rasmi mwaka 2013 sawa?Huyo ni mpuuzi na NI wa kupuuza. Mara kapombe asiende kwenye press conference mara sijui nini. Ujinga mtupu
Ni Mpumbavu tu pekee ndiyo leo atajua na kuamini kuwa Yanga SC atafungwa na Simba SC. Ushindi wa Simba SC leo ni ama Suluhu (bila magoli) au Sare (ya magoli) na si vinginevyo. Yanga SC wameizidi Simba SC Kiufundi, Kiujanja Ujanja, Kiumafia na hata Kipropaganda vile vile.Afadhali Leo umeamua kuchagua fungu la kokosa!
Hii ni nzuri kisaikolojia, hutaumizwa na matokeo yeyote!
Sawa mkuu msalimie natasha na muhoozi kainerugaba.Nipo Kampala nchini Uganda tokea tarehe 9 April, 2024 na siko huko Tanzania ila Mpira nitausikiliza TBC Online baadae.
Mkumbushe huyooo, naona ameanza kupoteza kumbukumbu mapema.Mkuu sio alama 4 ni 5
Kwa CDF Gen. Muhoozi zitafika kutokana na uwezekano mkubwa wa kukutana nae mara kwa mara kwa Jukumu ninalolifanya huku ila kwa Natasha nisikudanganye Ratiba zake na zangu za Kiutendaji kutukutanisha ni nadra kwa sasa labda tu ikitokea hafla Ikulu za Entebbe na Nakasero au Kijijini Kwao Rwakitura hapo naweza Kukutana nae.Sawa mkuu msalimie natasha na muhoozi kainerugaba.
Kwa CDF Gen. Muhoozi zitafika kutokana na uwezekano mkubwa wa kukutana nae mara kwa mara kwa Jukumu ninalolifanya huku ila kwa Natasha nisikudanganye Ratiba zake na zangu za Kiutendaji kutukutanisha ni nadra kwa sasa labda tu ikitokea hafla Ikulu za Entebbe na Nakasero au Kijijini Kwao Rwakitura hapo naweza Kukutana nae.
Ukweli mchungu japo wafia timu watabisha.Mimi ninachojua tu ni kwamba leo ndiyo tunaenda Kuachwa rasmi kwa Alama Nne (4) na Wao kuwa Mabingwa tena.