Yaani uweke Kambi yako eneo ambalo analijua na kila Siku anakuumizia hapo hapo halafu leo ujitutumue Kumfunga na Kufuta Uteja? Wadanganyeni Wehu wenu

Yaani uweke Kambi yako eneo ambalo analijua na kila Siku anakuumizia hapo hapo halafu leo ujitutumue Kumfunga na Kufuta Uteja? Wadanganyeni Wehu wenu

Jentamagic
Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.

Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.

Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
 
Popoma hongera sana
Wanafiki wakubwa nyie wakati mlikuwa Mnanitukana leo hapa huku mkiwa mmejipanga Kunizodoa kama Simba SC ingeshinda Leo.

Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.

Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.

Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
 
Kweli Genta we ni Talented charismatic, halafu kumbe we Genta ni mjeshi,
Mtasema yote Leo Wanafiki wakubwa nyie. Si mlikuwa Mnanitukana leo hapa JamiiForums wakati niliposema Yanga SC leo anatuacha kwa Alama (Points) Nne (4) kwa Kumfunga?

Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.

Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.

Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
 
popoma huwa hakosei
Wanafiki wakubwa nyie. Hamna lolote mlikuwa mmejipanga kuja Kunizodoa hapa na Kunicheka kama Simba SC ingeshinda ila kwakuwa imefungwa sasa mnaojifanya Kuzuga kwa Kunisifia.

Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.

Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.

Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
 
Wanafiki wakubwa nyie. Hamna lolote mlikuwa mmejipanga kuja Kunizodoa hapa na Kunicheka kama Simba SC ingeshinda ila kwakuwa imefungwa sasa mnaojifanya Kuzuga kwa Kunisifia.

Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.

Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.

Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
Popoma tangu mwaka 2017 umekua rafiki yangu

Sina mashaka na weledi wako popoma
 
Hongera popoma
Saa mbovu Kuna wakati husema ukweli
 
Back
Top Bottom