Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ndiyo ni popoma mzee wa kuukwekaKwan huyu jamaa ni popoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ni popoma mzee wa kuukwekaKwan huyu jamaa ni popoma?
Unasemaje mkuu baada ya mechiHuyo ni mpuuzi na NI wa kupuuza. Mara kapombe asiende kwenye press conference mara sijui nini. Ujinga mtupu
Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.Jentamagic
Wanafiki wakubwa nyie wakati mlikuwa Mnanitukana leo hapa huku mkiwa mmejipanga Kunizodoa kama Simba SC ingeshinda Leo.Popoma hongera sana
Mtasema yote Leo Wanafiki wakubwa nyie. Si mlikuwa Mnanitukana leo hapa JamiiForums wakati niliposema Yanga SC leo anatuacha kwa Alama (Points) Nne (4) kwa Kumfunga?Kweli Genta we ni Talented charismatic, halafu kumbe we Genta ni mjeshi,
Wanafiki wakubwa nyie. Hamna lolote mlikuwa mmejipanga kuja Kunizodoa hapa na Kunicheka kama Simba SC ingeshinda ila kwakuwa imefungwa sasa mnaojifanya Kuzuga kwa Kunisifia.popoma huwa hakosei
Popoma tangu mwaka 2017 umekua rafiki yanguWanafiki wakubwa nyie. Hamna lolote mlikuwa mmejipanga kuja Kunizodoa hapa na Kunicheka kama Simba SC ingeshinda ila kwakuwa imefungwa sasa mnaojifanya Kuzuga kwa Kunisifia.
Waambie hao Wapumbavu walionitukana leo Mchana niliposema kuwa Yanga SC atashinda na kutuacha rasmi kwa Alama (Points) waje Kunitukana tena. hapa JamiiForums.
Watanichukia na kusema kila Neno baya dhidi yangu, ila Mimi ndiyo GENTAMYCINE niliyebarikiwa Tunu / Shani nyingi na Mwenyezi Mungu hapa Duniani.
Mnakimbilia kumshutumu Mangungu wakati Nyoka mwingine mnae ila Kawaroga vilivyo kwa Maneno yake kama Msemaji ila kumbe ndiyo anawaumiza kwakuwa siyo mwana Simba SC kamwe bali ni wa Kwao waliowafungeni.
Ikawaje sasa??Mm ni mshabiki wa Yanga ila Leo mnyama anatakata