Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
- Thread starter
-
- #41
Una akili sana Mkuu, Ila inabidi ujue sasa kwenye kujenga mwili usipige chuma sana wakati unajijua we mfupi utakuwa mfupi zaidi ukijaa kifuaWatu warefu sana,wengi wao ni wazembe na huzeeka haraka na kupata magonjwa ya mifupa.
Urefu ni ubaguzi usio na maana kama weupe na weusi, havimuongezei mtu chochote...
Litakuwa gogo lile la buchani, huwa ni mafupi yale
AiseeHabari za wakati huu wadau wa Jamvi letu pendwa JF
Eeeh bhana niko kwenye mtoko wa pekee yangu huku..
Dunia hiyo mkuu. Kila mtu ana vionjo vyake bilashaka. Si unaona hata wewe unaandika " ...DJ... anaPOga ...maRadavi..." na unaenjoy kwa raha zako. Na yeye anaenjoy na umbo lake la nge. Good... Gooder...GoodestHabari za wakati huu wadau wa Jamvi letu pendwa JF
Eeeh bhana niko kwenye mtoko wa pekee yangu huku...
Aisee
Dunia hiyo mkuu. Kila mtu ana vionjo vyake bilashaka. Si unaona hata wewe unaandika " ...DJ... anaPOga ...maRadavi..." na unaenjoy kwa raha zako. Na yeye anaenjoy na umbo lake la n'ge. Good... Gooder...Goodest
Body shaming sio kitu kizuri jiheshimu mkuu, ufupi urefu ni maumbile tu.
Wewe ni kabaguzi acha hyo tabia utafanya wafupi wajiskie vibaya bana hata ka hujataja mtu, ufupi ni maumbile tu aasrghNimemtaja mtu hapo ?? Suala ni kwanini ujaziee kifua ili hali we mfupi jmnn ??
AiseeAise nini ?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni kabaguzi acha hyo tabia utafanya wafupi wajiskie vibaya bana hata ka hujataja mtu, ufupi ni maumbile tu aasrgh
Aisee
Akipiga chuma huku Ni mfupi atapata madhara gani kiafya?Una akili sana Mkuu, Ila inabidi ujue sasa kwenye kujenga mwili usipige chuma sana wakati unajijua we mfupi utakuwa mfupi zaidi ukijaa kifua
Kuna madhara gani kiafya?Nimemtaja mtu hapo ?? Suala ni kwanini ujaziee kifua ili hali we mfupi jmnn ??
Akipiga chuma huku Ni mfupi atapata madhara gani kiafya?
A real man must fight at least once a year, that's natural. Usipofanya hivyo hiyo tabia ya asili itaamia nyumbani kwako ( utakua unapiga mke na watoto) just to prove your manhood.Mie sina nguvu za kugombana hovyo tu, Kwahiyo kama ni yeye basi apite zake hivi
Take the height of the tolest human being in the respective community, devide it by three, you will come up with three cartegories of peopleMkuu ili uwe mfupi unatakiwa uwe below how many cm ??
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
K van't at work.Habari za wakati huu wadau wa Jamvi letu pendwa JF
Eeeh bhana niko kwenye mtoko wa pekee yangu huku...