BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Laki 3 **** tu??? Dadek kweli me ndio nimebaki na njaa zangu hapa mjini.Huyo binti anajiuza!Kuna jamaa yangu alishakaosha kwa dau la laki 300,000/=
hahahahahahahahahahhaahahhahahahhahahahahahamamaee watz ndo tumekua wajinga hv hio laki 3 ana inyea wap
au umetumwa kuja kumtafutia soko humu??
Nawe uza KIBUTI MANYOYAKumbe K inalipa kiasi hiki!![emoji53][emoji53][emoji53]
Kumbe huko chini ni kamradi fulani hivi Amazing....350000*30*12=126,000,000/= Wenye Madegree kazi wanayoooMrembo mwenye mvuto wa hajaa aliyebarikiwa kuanzia unyayo mpaka ncha ya nywele ambaye hachoshi kumtazama ajulikanaye kama Anna Patrick Kimaro (Tunda Saba Sita au Cleopatra) hatimaye wazee wa kunyapia nyapia wamegundua kuwa mrembo huyo anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku lakini hana show off za kijinga kama yule aliyejinadi anavaa mawigi ya milioni sita wakati hata sehemu aliyopanga thamani ya kodi yake haizidi elfu 70 kwa mwezi .
Pia inasemekana kuwa ana utajiri usio pungua bilioni 1.2 ila hapendi kuanika utajiri wake wazi kwa sababu maalumu.
Hata hivyo bado haijagundulika haraka haraka chanzo cha mapato yake hayo kulinganisha na umri wake ni nini?
View attachment 635378
View attachment 635380
View attachment 635382Tunda akiwa Gym kuweka sawa umbile lake matata ambalo linawatoa udenda wakware wengi hapa mjini .
View attachment 635388Tunda akiendelea kula good life ,mwenyewe anakwambia stress hazina nafasi maishani mwake.
Mkuu we kibokoNasikia kuna firauni mmoja hapa mjini anakasukuma mbolea kuirudisha nfani
said it all maTatizo la kujua watu kwenye mitandao. Hizo laki 3 anazitumia kufanyia nini? Maisha ya instagram yanawafool sana.
Na sikia mzee wake ndio yule mkulu wa police hahahaha!
!
Saba Sita na ubabe wake wote maanina hihihihihihihi
hizo takwimu za uchumi ulizisomea insta na wapita njia.ujiongezi tu karai mwenzangu,we kauze nyumba yako alafu tukupeleke kwa hao au huyo uliye mpost hakukate msingi mpaka unakuja kushituka yeye instagram kaosha show off za kufa mtuMrembo mwenye mvuto wa hajaa aliyebarikiwa kuanzia unyayo mpaka ncha ya nywele ambaye hachoshi kumtazama ajulikanaye kama Anna Patrick Kimaro (Tunda Saba Sita au Cleopatra) hatimaye wazee wa kunyapia nyapia wamegundua kuwa mrembo huyo anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku lakini hana show off za kijinga kama yule aliyejinadi anavaa mawigi ya milioni sita wakati hata sehemu aliyopanga thamani ya kodi yake haizidi elfu 70 kwa mwezi .
Pia inasemekana kuwa ana utajiri usio pungua bilioni 1.2 ila hapendi kuanika utajiri wake wazi kwa sababu maalumu.
Hata hivyo bado haijagundulika haraka haraka chanzo cha mapato yake hayo kulinganisha na umri wake ni nini?
View attachment 635378
View attachment 635380
View attachment 635382Tunda akiwa Gym kuweka sawa umbile lake matata ambalo linawatoa udenda wakware wengi hapa mjini .
View attachment 635388Tunda akiendelea kula good life ,mwenyewe anakwambia stress hazina nafasi maishani mwake.
hiyo laki tatu bora angeweka kwenye matumizi mengineHuyo binti anajiuza!Kuna jamaa yangu alishakaosha kwa dau la laki 300,000/=
Daaah..Pia inasemekana kuwa ana utajiri usio pungua bilioni 1.2 ila hapendi kuanika utajiri wake wazi kwa sababu maalumu.
Ndio hayo matumizi mengine,vidole havilingani mkuu!hiyo laki tatu bora angeweka kwenye matumizi mengine
Ndo huyohuyoKuna mahali nilisoma wanasema ni mtoto wa sabasita...... Nataka kujua ni sabasita huyuhuyu afande mafiyonso??