Kamuulize odoni wa ChelseaHio Kirusi kikingia kwenye damu ya muafrika tu kinakufa chenyewe Haraka sana. Yani kusema kwamba eti corona haipo humu ni uongo ila tu ni kama Flu hakiwezi fanya chochote ndani ya damu yetu we are stronger.
Kweli bongo kila mtu ni daktari.. We tayari umejipima na umethibitisha unao! Angalia unachokitamani utakipata, maneno yanaumbaCorona IPO Dar muda sanaa
Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida
Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy
Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable
Now nimeji self quarantine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bongo kila mtu ni daktari.. We tayari umejipima na umethibitisha unao! Angalia unachokitamani utakipata, maneno yanaumba
Huu uogonjwa kwann watu weusi hawafiii wakiupataa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.Corona IPO Dar muda sanaa
Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida
Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy
Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable
Now nimeji self quarantine
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ipo Tz tena Dar ipo kabisa hata wafiche vipi virus vishaingia,
Kikubwa waungwana tujiepushe na kukaa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama sio lazima, tunawe mikono kila mara hata tukiwa majumban, lakini muhimu zaidi ni kupandisha kinga zetu za mwili, meza vidonge vya vitamin C kila siku,
Mola awe nasi.
Kufa ni kama mchezo mbele ya covd-19Nasikia watu wakiumwa tu...
sisikii wakifa
Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.
kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.
View attachment 1386340
Hako kamji kila siku watu wanaingia na kutoka...nenda stendi kuu ya mabasi mkoa wowote uone watu wanavyomiminika kila siku kutoka kwenye hako kamjiMtakufa kama kuku wenye mdondo haki ya baba mlivyojazana kwenye hako kamji kama nguruwe mtajuuuta!
Nitashukuru mno maana Rais Magufuli ndio itakuwa tiketi yake rasmi kuhamia Dodoma
unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.
Mbona unalialia imekupata nini? Sisi wengine hatuna wewe endelea kulialia tuuu. Kwani ukipata ugonjwa unaanza kumlialia Magufuli mbona hata kwa wanaume wako US ugonjwa upo lakini hawamlalamikii Trump? Acha ujinga pambana na hali yako!Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.
kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.
View attachment 1386340
Hapo kwenye kunawa jamani jamani. Asilimia kubwa ya waTZ wapo kijijini ambapo maji Safi na salama ni majangaCorona ipo Tz tena Dar ipo kabisa hata wafiche vipi virus vishaingia,
Kikubwa waungwana tujiepushe na kukaa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama sio lazima, tunawe mikono kila mara hata tukiwa majumban, lakini muhimu zaidi ni kupandisha kinga zetu za mwili, meza vidonge vya vitamin C kila siku,
Mola awe nasi.
Tayari unao! Subiri kifo tu mkuu pole sana. Tangulia wote tunaelekea huko huko kwa Mwenyezi Mungu lakini anza kutubu mkuu kwa madhambi yako.unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.
Tuwekee Link tusome Wenyewe
Usitake kutupotosha hapa
ni hivi hapa hafi mtu mkuu.. haya ni mafua tu hata panado simezi.Tayari unao! Subiri kifo tu mkuu pole sana. Tangulia wote tunaelekea huko huko kwa Mwenyezi Mungu lakini anza kutubu mkuu kwa madhambi yako.
Unafikiri “hako kamji” kakivamiwa mikoa mingine itabaki salama?Mtakufa kama kuku wenye mdondo haki ya baba mlivyojazana kwenye hako kamji kama nguruwe mtajuuuta!
Nitashukuru mno maana Rais Magufuli ndio itakuwa tiketi yake rasmi kuhamia Dodoma