Yadaiwa kuna mtu ana CORONA(Covd 19) kalazwa Regency Hospital DSM... Hospitali yasema amebainika hana ugonjwa huo

Yadaiwa kuna mtu ana CORONA(Covd 19) kalazwa Regency Hospital DSM... Hospitali yasema amebainika hana ugonjwa huo

Corona IPO Dar muda sanaa

Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida

Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy

Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable

Now nimeji self quarantine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bongo kila mtu ni daktari.. We tayari umejipima na umethibitisha unao! Angalia unachokitamani utakipata, maneno yanaumba
 
Kweli bongo kila mtu ni daktari.. We tayari umejipima na umethibitisha unao! Angalia unachokitamani utakipata, maneno yanaumba

Hahahahaha na mecheka sana yani Tanzania kila mtu mjuaji!
 
Corona IPO Dar muda sanaa

Mimi mwili wangu uko very sensitive na vitu ambavyo si vya kawaida

Na kila nikienda mjini ni lazima mafua na mfumo wa upumuaji uwe na shida, sometimes I feel little bit dizzy

Nikirudi home nikikaa siku mbili tatu bila kwenda nakuwa stable

Now nimeji self quarantine

Sent using Jamii Forums mobile app
unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.
 
Ushauri wako nauweka kapuni... yaani tumeze dawa kila siku kama waathirika wa ukimwi!?
Corona ipo Tz tena Dar ipo kabisa hata wafiche vipi virus vishaingia,
Kikubwa waungwana tujiepushe na kukaa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama sio lazima, tunawe mikono kila mara hata tukiwa majumban, lakini muhimu zaidi ni kupandisha kinga zetu za mwili, meza vidonge vya vitamin C kila siku,
Mola awe nasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.

kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.

View attachment 1386340

Hivi Kwanini mnapenda kuingiza Siasa za kijinga kwenye mambo ya msingi. Serikali haiwezi kuficha jambo kama hili. Inapopokea taarifa lazima izifanyie kazi na kuhakiki ili isije leta taharuki na kuharibu zaidi.

Please grow up.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtakufa kama kuku wenye mdondo haki ya baba mlivyojazana kwenye hako kamji kama nguruwe mtajuuuta!

Nitashukuru mno maana Rais Magufuli ndio itakuwa tiketi yake rasmi kuhamia Dodoma
Hako kamji kila siku watu wanaingia na kutoka...nenda stendi kuu ya mabasi mkoa wowote uone watu wanavyomiminika kila siku kutoka kwenye hako kamji

Tutakufa wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.

Kuna ukweli ndani yake....hata mimi asee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapa kwenye hili suala la Corona sijui zitafanyika siasa za kishamba kama za chakubanga au wataamua kuwa wakweli? ama kwa hakika awamu ya tano tumepatikana ila laana hii yote itabewa na wewe Jk ulitufanya vibaya sana 2015.

kama kweli umeingia DSM tujitayarishe kuputika labda kuna watu watafurahia ili hata kampeni na uchaguzi usifanyike kabisa maana ni kama viel they dont give a damn about it.

View attachment 1386340
Mbona unalialia imekupata nini? Sisi wengine hatuna wewe endelea kulialia tuuu. Kwani ukipata ugonjwa unaanza kumlialia Magufuli mbona hata kwa wanaume wako US ugonjwa upo lakini hawamlalamikii Trump? Acha ujinga pambana na hali yako!
 
Corona ipo Tz tena Dar ipo kabisa hata wafiche vipi virus vishaingia,
Kikubwa waungwana tujiepushe na kukaa kwenye mikusanyiko ya watu wengi kama sio lazima, tunawe mikono kila mara hata tukiwa majumban, lakini muhimu zaidi ni kupandisha kinga zetu za mwili, meza vidonge vya vitamin C kila siku,
Mola awe nasi.
Hapo kwenye kunawa jamani jamani. Asilimia kubwa ya waTZ wapo kijijini ambapo maji Safi na salama ni majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unachokisema kina uhalisia fulani hivi juzi nimezunguka kkoo kama masaa 4 leo sijielewi kabisa kichwa kinauma mafua kwa mbali koo limekauka inshort ninajihisi sipo sawa nimechokachoka dalili za mafua naziona kabisa naomba yawe mafua ya kawaida tu.
Tayari unao! Subiri kifo tu mkuu pole sana. Tangulia wote tunaelekea huko huko kwa Mwenyezi Mungu lakini anza kutubu mkuu kwa madhambi yako.
 
Tayari unao! Subiri kifo tu mkuu pole sana. Tangulia wote tunaelekea huko huko kwa Mwenyezi Mungu lakini anza kutubu mkuu kwa madhambi yako.
ni hivi hapa hafi mtu mkuu.. haya ni mafua tu hata panado simezi.
 
Huu sio muda wa kusafiri safiri kwenda nchi za mbali hasa ulaya lakini bado watu ni viburi. Diamond na timu yake anafanya tour ya europe hivi sasa hii ni hatari hasa ukizingatia kushikana mikono na mashabiki wakati wa show. Huyu angepata ushauri a postpone hizo show zake kipindi hiki wasije kuchuma janga huko wakaja kula na wabongo huku. Huu ugonjwa ni nyoko unakimbia kama moto kwenye majani makavu
 
Mtakufa kama kuku wenye mdondo haki ya baba mlivyojazana kwenye hako kamji kama nguruwe mtajuuuta!

Nitashukuru mno maana Rais Magufuli ndio itakuwa tiketi yake rasmi kuhamia Dodoma
Unafikiri “hako kamji” kakivamiwa mikoa mingine itabaki salama?
 
Back
Top Bottom