Yafahamu madhara ya kitambi kwa wanaume

Yafahamu madhara ya kitambi kwa wanaume

Naongezea,ukitaka kupungua fanya hivi,
1.kula mlo mmoja tu kwa siku,utanishukuru baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambi au kunenepa naamini hakitokani/hakutokani na kula sana kinatokana na mtu kuridhika na maisha, believe me.

Ukishafikia hatua ya kupata kila unachotaka hata ule mlo mmoja konzi ya mkono kwa siku kama kitambi utakiona kama mwili utauona wengi ukiondoa wale wenye miili ya asili wanakuwa wembamba kutokana na shida ila shida zikiwaisha ukikutana nao unawasahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwili ni hazina na hauna warranty, usipochukua tahadhari sasa hivi utakucost baadae.

Ikiwa ku-ucontrol tu mwili wako unashindwa, ni dalili vitu vingi vinakushinda kwa uzembe.

Habari njema ni kwamba unao uwezo wa kubadilika na mambo yakakaa sawa.

Never give up!!
 
Hamdan said:
Mkuu usitake kufanya kila kitu kina madhara
Ni kawaida kila chenye faida kina madhara.. Hakuna chenye faida kikakosa side effect zake.. na vise versa.

Nitajie (mfano) wa kitu chenye faida tu kikakosa hasara.
 
Dawa ya kitambi

Mahitaji

a) Dawa ya kung'arisha meno mfano whitedent nk

b) Kitunguu maji

Matumizi

Kata kitunguu maji katikati kisha upande mmoja paka au weka dawa ya kung'arisha meno nyingi kiasi. Iache kama dakika 10 baada ya hapo anza kupaka kulizunguka tumbo. Namaanisha huo upande wa kitunguu uliowekwa dawa ya meno.

Hakikisha unapaka tumbo zima. Baada ya hilo zoezi, kaa tena kama dk 15 kisha nenda ukajisafishe au kuoga mwili ujitakase.

Fanya kwa kurudia 1*3. Yaani unapaswa upake huo mpaka mara moja kwa siku kwa siku tatu (3).

Karibu.
Masalu Jacob
😂😂😂😂😂
Haya bwana
 
Back
Top Bottom