Kitambi au kunenepa naamini hakitokani/hakutokani na kula sana kinatokana na mtu kuridhika na maisha, believe me.Naongezea,ukitaka kupungua fanya hivi,
1.kula mlo mmoja tu kwa siku,utanishukuru baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida kila chenye faida kina madhara.. Hakuna chenye faida kikakosa side effect zake.. na vise versa.Hamdan said:Mkuu usitake kufanya kila kitu kina madhara
Kalamu.Ni kawaida kila chenye faida kina madhara.. Hakuna chenye faida kikakosa side effect zake.. na vise versa.
Nitajie (mfano) wa kitu chenye faida tu kikakosa hasara.
Masalu JacobDawa ya kitambi
Mahitaji
a) Dawa ya kung'arisha meno mfano whitedent nk
b) Kitunguu maji
Matumizi
Kata kitunguu maji katikati kisha upande mmoja paka au weka dawa ya kung'arisha meno nyingi kiasi. Iache kama dakika 10 baada ya hapo anza kupaka kulizunguka tumbo. Namaanisha huo upande wa kitunguu uliowekwa dawa ya meno.
Hakikisha unapaka tumbo zima. Baada ya hilo zoezi, kaa tena kama dk 15 kisha nenda ukajisafishe au kuoga mwili ujitakase.
Fanya kwa kurudia 1*3. Yaani unapaswa upake huo mpaka mara moja kwa siku kwa siku tatu (3).
Karibu.
Wamama wa kinyakyusa na wamama wa kichaga wanaongoza kwa vitambi Tanzania.Mbona wanawake wengi wanavitambi hususan hawa wa mama wa Dar!hao nao athar zao ni nn!
Sent using Jamii Forums mobile app