Yafuatayo ni mambo ya msingi kwa Yanga ili waweze kufuzu kesho

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umesalimu amri
 
Marefa sasa hivi wapo fair nmeangalia mechi ya Mazembe na Vipers ni kwamba Yanga wakiwa wazuri uwanjani game bado mbichi hii
Mechi ya Es Tunis vs Plateau. Es Tunis walielekea kutoka hadi dakika ya 83 refa kaweka tuta. Mechi ya Al Hilal vs St George,. Al Hilal hadi dakika 80 walikuwa wanaelekea kutolewa refa kaweka tuta.
Mechi ya pirates vs Simba kule Afria kusini kuna matukio kadhaa ambayo yaliya favour wenyeji kuliko Simba.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Yamepugua sana sio kama zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…