Ameumia ktk mazingira gani?Jefferson Luiz, golikipa wa Simba SC ameumia vibaya na atakaa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Simba imeachana naye na inamsaka mbadala wake kufikia kesho
MazoeziniAmeumia ktk mazingira gani?
Hapa wakubali tu tulichemka.. kusema ukweli kuwa tumemtema wameona noma.Jefferson Luiz, golikipa wa Simba SC ameumia vibaya na atakaa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Simba imeachana naye na inamsaka mbadala wake kufikia kesho
Hamkomi tuNiko hapa kuthibitisha kuwa kipa la Kibrazil Caique Luiz Purificao kutoka Ypiranga limechukuliwa na Simba mnyama
Unamjua Simba?
U turn. Kipa anayekuja Simba anatokea Rodez ya Ufaransa(, Lionel MpasiJefferson Luiz, golikipa wa Simba SC ameumia vibaya na atakaa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Simba imeachana naye na inamsaka mbadala wake kufikia kesho
Sawa, atacheza tar 6/8/2023?U turn. Kipa anayekuja Simba anatokea Rodez ya Ufaransa(, Lionel Mpasi
NItakujulishaSawa, atacheza tar 6/8/2023?
Mkuu tunangojea utupe info zaidiNItakujulisha
Kesho hataweza kuwepo Simba day. Deal ni gumu sana. Kuna uwezekano akawepo kipa mzawa kwa kuwa Manula kaanza mazoeziMkuu tunangojea utupe info zaidi
Husein Abel kutoka KMCKesho hataweza kuwepo Simba day. Deal ni gumu sana. Kuna uwezekano akawepo kipa mzawa kwa kuwa Manula kaanza mazoezi
Anapunguzwa nani? Au wale madogo mmoja anarudi B?Ayoub Larkred, golikipa kutoka AS FAR Rabati ni mnyama.
Feruz anapelekwa kwa mkopoAnapunguzwa nani? Au wale madogo mmoja anarudi B?
Utabiri wa nyota Tano [emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294] ila Mhe. Upo makao makuu nini?Hatimaye na Banda kaagwa, tena wa mwisho kama nilivyomuandika wa mwisho na kumuwekea mabano. Utabiri umetimia kwa 100%
Hapana mkuuUtabiri wa nyota Tano [emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294] ila Mhe. Upo makao makuu nini?