Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usajili mzuri! Safi sana..
Nakuamini..ila mbona sijaona kwenye pageLuis Jose Miquissone ni mnyama
Litakufa jitu mwaka huuLuis Jose Miquissone ni mnyama
Acha basi kuturusha roho mkuu.Luis Jose Miquissone ni mnyama
Amini nakwambiaAcha basi kuturusha roho mkuu.
Utaona soon japo siyo leoNakuamini..ila mbona sijaona kwenye page
Ahsante..imeisha hiyoUtaona soon japo siyo leo
Hao waende tu..walikuwa na utoto mwingi..hivi hao wanaiweza ile shughuli ya Konde boy kwelii..Sema ukiwa unafurahia ujio wa Luis Miquissone Usiumie ukiambiwa Sakho na Banda wanaondoka.
😀Hao waende tu..walikuwa na utoto mwingi..hivi hao wanaiweza ile shughuli ya Konde boy kwelii..
Leo anatambulishwa nani ?Hatujamaliza; leta kibegi, leta Miquissone. Ua bonanza
Leo jezi tu mkuuLeo anatambulishwa nani ?
Golikipa wa akina Ronaldinho na Neymar ndo amesajiliwa?
KweliiiiLuis Jose Miquissone ni mnyama
Tayarii mkuuKweliiii