Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
 
Kuna watu wana roho mbaya,

Tatizo ni hapo kwenye muitukio wa wateja, maza house ndiye mbaya wako, hela ya ulinzi inazidi pango!! Halafu ni mjinga badala ashukuru biashara yako inaenda poa maana kupata kwako ndo kodi yake inapatikana pasipo usumbufu, labda kama anataka afanye biashara km yako

Wakomeshe tu
 
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
pole sana.
Hivi huko ni uswahili sana?
 
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
Pole sana mkuu ukishafanya yako nitag nije kuona
 
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.
 
Pole sana mkuu ila nikuhakikishie kwamba kwenye huo utamaduni utapoteza hela yako na muda wako hao wezi hawatafanywa chochote kile. Hakuna majibu yoyote yale utakuja kuleta humu labda ya kuibiwa zaidi.

Kama umeamua kukaa kimia wewe kaa kimia tu mkuu yaishe.
 
Back
Top Bottom