Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.

Pole sana.
Kama unajiweza jibu shambulizi kwa namna ambayo itakuwa funzo
 
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
Tusije kuletewa tangazo la biashara mrejesho wa pili.
 
Wakuu mimi bado masikini,nipo napambana najitafuta.Kwa muda mrefu nimejichanga kutafuta ka mtaji nikapata. Nikatafuta kasehemu nikafungua local grocery,yani ni ya kawaida sana.Biashara ikaanza kwa mwitikio mzuri tu si haba.
Siku kadhaa baada ya kuanza,mama mwenye nyumba ambaye anaishi hapohapo akaibuka na hoja ya kuwa nianze kulipa hela ya mlinzi kwa kumpa yeye mwenyewe laki 1! Mimi nikamwambia mama kimahesabu unanionea kwasababu pango ni 60,000 inakuwaje nilipe mlinzi laki?Akasema basi lipa 50,bado ikawa ni kandamizi kwangu.Katika kutafuta namna nikamwambia nitaongea na mlinzi nijue namna ya kumwongezea,mama akakataa akasema sitaki na "UKIKOSA TV NA RADIO TUSIULIZANE"Mimi nikasema sawa.Haikupita siku hata 1 nikakuta asubuhi pamevunjwa na TV nchi 43 na radio nzuri tu havipo.
Nikasema sawa hamna shida, nikawasiliana na wazazi home wakasema kama ipo hivyo kaa kimya usifanye lolote.

Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho wakuu.

Thamani ya laki 8 ndo nimeibiwa.
Huo utamaduni muhimu sana hata mimi nilishawahi kuufanya kwa wezi wa mbao zangu ,nilipoibiwa mzee akaniambia katangaze warudishe alafu kaa kimnya wiki moja ,duh mzee mkaksi yule nashangaa nafatwa na wazee wao wale wezi eti niwasamehe wamekosa na mimi nikakataa sijui kitu shenzi.
 
Huo utamaduni muhimu sana hata mimi nilishawahi kuufanya kwa wezi wa mbao zangu ,nilipoibiwa mzee akaniambia katangaze warudishe alafu kaa kimnya wiki moja ,duh mzee mkaksi yule nashangaa nafatwa na wazee wao wale wezi eti niwasamehe wamekosa na mimi nikakataa sijui kitu shenzi.
Kwa iyo nini kiliwakuta hao wezi wako
 
Mswahili akiona unaendelea na upo kwake anapandisha kodi kama mali ya mama yake shenzy kabisa
Watakufa masikini kwa tamaa zao
Bongo balaa
Kuna jamaa zangu walikodi eneo, palikua rafu sana. Wakapaweka sawa wakaanzisha biashara ya yule mnyama aliyerushiwa mapepo ya jeshi kule Samaria. Eneo likafana kweli kweli wakaanza kupiga hela.

Chakushangaza kodi ilivyoisha mwenye eneo akasema anapahitaji, akawatoa. Na kubwa zaidi akaendeleza biashara ile ile. Hata hakufikisha miezi miwili akashindwa pakafungwa.
 
Kuna jamaa zangu walikodi eneo, palikua rafu sana. Wakapaweka sawa wakaanzisha biashara ya yule mnyama aliyerushiwa mapepo ya jeshi kule Samaria. Eneo likafana kweli kweli wakaanza kupiga hela.

Chakushangaza kodi ilivyoisha mwenye eneo akasema anapahitaji, akawatoa. Na kubwa zaidi akaendeleza biashara ile ile. Hata hakufikisha miezi miwili akashindwa pakafungwa.
Mwafrica anachomudu kwa ufanisi kabisa ni uchawi na kucheza ngoma
 
Wivu huo na Roho mbaya,,,anataka utoke hapo afanye yeye Kwa kuwa anaona kuna chochote Kitu,,wenye Nyumba wengi wako hivyo,,achana nae jikatae hapo
 
Back
Top Bottom