Yah:kuibiwa usiku wa tarehe 3.09.2024

Roga au piga kurujuani
 
Nimebaki kimya,ila kuna utamaduni nimeufanya nitawapa majibu hapahapa siku 1.Watu wengi wanashangaa mimi kukaa kimya na kutoenda polisi.Ila nitawapa mrejesho

Kuna wajinga wengi tu,kwa tamaa zao za kijinga mpaka zinapelekea mafrem yao kukosa wa kuyakodi
Mkuu hata huyu mama ana fremu nzuri sana na jiko zuri lakini watu hawachukui.Fremu zipo 4,na mpangaji nipo peke yangu.
 
Nunua UDI
Sukari robo

Nenda sehemu ambayo watu hawapiti kuingia au kutoka.

Then baada ya hapo.

Uje pm tuchague aina ya jini la kuwatupia hao watu


NB Goodness has no substitution -and everything has a price.

Sipendi kumuumiza huyo MTU Ila nakusikiliza.
 
ajeje pm mkuu sanga..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…