YAH:kumkaribisha member ''GENERATION-Y'' ndani ya I.S.C

YAH:kumkaribisha member ''GENERATION-Y'' ndani ya I.S.C

Hujanionea Asprin maana alipotoka hapa kanisani aliacha kitabu chake cha nyimbo na mkoba

Asprin anatafuta guest ipi itafaa kwa ajili ya infideletees wa leo, kikao cha leo ni kikubwa kwahiyo lazima tupange mambo muhimu mapema
 
Time table:
17:30 - 19:30 - Bigirita
19: 30 - 20:30 - Asprin
20:30 - 21:30 - Teamo

hawa watakuwa wametosha kwa leo.

Kesho:
10:00 - 18:00 - Pope Kaizer.
Itakuwa imetosha.

wengine mtaamua ratiba kwa PM[/QUOTE


Asprin nimeshamaliza nae nimemwacha chumba cha f
aragha so rekebisha ratiba
]
ok, delete Asprin and do the math on the time. what bout that!
 
Well...if those are your good wishes, who am I to refuse the generosity....am alll yours.....
sasa napata wasi wasi kama tunae ''makamba'' au katibu.........
 
HEHEHEHE!ni muhimu sana kuchukua tahadhari.....!infact mazingira yenyewe ya i.s.c yanahitaji tahadhari,

labda kwa kumsaidia tu wiselady ni kwamba TUNATUMIA HOTELS ZENYE MAGETI NA WALINZI WA KI-MASAI

Teamo tahadhari si ya mazingira ya nyumba,bali kuwa makini na kambi ya ISC kwa kuchukua hatua.Hata hivyo naomba tuonane ks asbh
 
Well...if those are your good wishes, who am I to refuse the generosity....we are alll yours.....
to set the record clear....once a member, always a member......and rule 3 applies. PERIOD.
 
sasa napata wasi wasi kama tunae ''makamba'' au katibu.........

Hebu :shut-mouth:
:fish2::fish2::fish2::fish2:
Naona umesahau kwamba ukatibu wangu ni matendo....
 
to set the record clear....once a member, always a member......and rule 3 applies. PERIOD.
YOU'RE F-U-C-K-I-N-G right!........!
pale pale jeijei

The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..
 
Well...if those are your good wishes, who am I to refuse the generosity....am alll yours.....

Woooow!gud to hear that,naomba teamo wajue kabisaaaaaaaaa kwamba hauko tena kny ule ufalme,otherwise me and u only
:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::dance::dance::dance:Infiii bye:A S 103::A S 103:
 
Hahhaa, Teamo nimecheka sana ukaribisho wako, na nilikuwa bize nikisoma wapwaaz wanavyoendelea kunikaribisha kundini...Kimey unajua tena gesti za keko ukimaliza lazima msumbuane bei......ila nimeingia tu ndani ya ISC na kupata hamu ya kufumaniwa..
kwakweli wewe ni mwanachama ''LULU'' ndani ya hii club.........!
 
Back
Top Bottom