Yah yah yah yah Trab na Trat

Yah yah yah yah Trab na Trat

jebs2002

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2008
Posts
9,604
Reaction score
8,812
Ni pale shemeji na wifi yenu alipokamata njumu mifukoni kwenye suruali yangu! Macho yalinitoka kigugumizi mate kukauka kutaka nimezwe na ardhi! Ilibidi tu niwasingizie wakina Trab na Trat!

Za mwizi kweli 40! Ebu nanyi fungukeni mliwasingizia kina nani kwenye situation kama hiyo.
 
Back
Top Bottom