Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,655
Naomba leo tujadili kitu muhimu sana kwa Taifa letu; muungano wetu watanganyika na zanzibar. Muungano huu umekuwa chachu ya mijadala katika kipindi hiki ambacho taifa letu limeingia katika mchakato wa kuandika katiba mpya nami naamua kutafakuri kuhusu jambo hili. Mwanzo kabla ya yote kabla hatujaingia ndani kabisa ya mjadala huu ni lazima tujiulize je ni nini lilikuwa lengo la kuunganisha nchi hizi mbili?
Kila muungano una malengo yake ambayo nchi ambazo zimeungana zinataka kuyafikia. Kwahiyo kiini cha muungano wowote ni zile fikra za kwanza zilizouunda.
Nitameng'enyua kanini nchi zinaungana kwa sababu zifuatazo ;
1. Watu huungana kuongeza nguvu au mamlaka
2. Watu huungana kwasababu tu watu wa mataifa yao wana mila na nasaba zinazofanana hivyo huungana kutokana na sababu za undugu wao.
Katika sababu hizi mbili naamini taifa letu liliungana na zanzibar kwa sababu hii ya pili na sio ya kwanza na hiko ndio kiini cha muungano wetu na sio kuongeza nguvu na mamlaka. Sababu ya kwanza inauliwa pia na udogo wa zanzibar.
Kwenye sababu ya kwanza nchi zozote zenye ukubwa na wingi wa unakaribiana kulingana wanaweza kuungana ili kuongeza nguvu na influence katika dunia, kila nchi hutoa baadhi ya mamlaka yake kwa serikali ya shirikisho na serikali ya shirikisho ndiyo itakayoshika damira na dira ya pamoja ya mataifa hayo kujiendeleza na kuinukia katika uso wa dunia.
Kwahiyo katika muungao wetu ni dhahiri ya kwamba ni muungano wenye dhamira ya kuunganisha watu tu na sio kuunganisha nguvu za mataifa haya mawili ni muungano wenye malengo ya kiundugu. Sio muungano wa kulifanya taifa hili liwe lenye nguvu. Kwa udogo wa Zanzibar sababu ya kwanza isingewezekana.
Baada ya kujua hili embu turudi katika mifumo ambayo inajadiliwa sana katika mchakato huu wa katiba tuanze na mfumo wa serikali tatu. Kuna sheria asilia katika nature ambayo ina balance nature. Hii inaitwa law of equilibrium. Naelezea sheria hii kuelezea mfumo wa serikali tatu jinsi gani ulivyo mgumu katika nature kila kitu kiko balanced that is how nature works. Hatuwezi kupefusha uzani huu pasipo muungano kuvunjika na kuna hatari kubwa kama muungano ukivunjika majaliwa ya tanganyika yatakuwa hatarini pia.
Tuna nchi mbili hapa Tuna tanganyika na zanzibar. Zenye ukubwa na uwiano wa watu unao tofautiana. Tanganyika ina watu millioni Arobaini na kitu wakati Zanzibar ina watu millioni moja tu na tunataka kutengeneza muungano wa serikali tatu. Hii ina maana ya kuwa taifa hili ligawanywe katika Mamlaka tatu; Yaani mamlaka ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mamlaka ya Tanganyika na Mamlaka ya Zanzibar kwa kawaida katika miungano ya namna hii kila taifa hutoa baadhi ya mamlaka yake kwa serikali ya shirikisho. Swali la kujiuliza Tanganyika itatoa mamlaka yake kiasi gani bila kukinzana na mamlaka ya serikali ya shirikisho ukizingatia udogo wa zanzibar? Equalization of power itakuwa wapi hapa? Ili kuwe na balance ni lazima serikali ya shirikisho iwe na mamlaka sawa kutoka kila upande ili kuwe na balance of power. Ni muhimu kutambua kwamba serikali hizi mbili ya Shirikisho na ya Tanganyika lazima zita collide tu. Na ziki collide sidhani kama tanganyika itabaki salama hakuna msalia mtume hapa. Msijaribu mifumo ambayo hamna uhakika nayo. Nasema tena udogo wa zanzibar unazuia uwezekano wa taifa hili kuwa shirikisho.
Mimi binafsi siruhusu zanzibar itoke mikononi mwa tanganyika ni bora itumike nguvu kuwazima wote ambao wana hatarisha amani ya nchi ni afadhali nguvu itumike kuwazima watu wachache kuliko madhara makubwa yatakayoikumba taifa hili sababu ya ujinga wa wehu wachache. Demokrasia ina mipaka yake inapofikia hatua ya kutaka kuua kiini cha nchi hiyo siyo demokrasia ni upuuzi. Hili Taifa lazima lisimame na zanzibar ni sehemu ya Tanzania mpaka kufa. Ile michanga iliyochanganywa haiwezi kugawanyika milele.
Kila muungano una malengo yake ambayo nchi ambazo zimeungana zinataka kuyafikia. Kwahiyo kiini cha muungano wowote ni zile fikra za kwanza zilizouunda.
Nitameng'enyua kanini nchi zinaungana kwa sababu zifuatazo ;
1. Watu huungana kuongeza nguvu au mamlaka
2. Watu huungana kwasababu tu watu wa mataifa yao wana mila na nasaba zinazofanana hivyo huungana kutokana na sababu za undugu wao.
Katika sababu hizi mbili naamini taifa letu liliungana na zanzibar kwa sababu hii ya pili na sio ya kwanza na hiko ndio kiini cha muungano wetu na sio kuongeza nguvu na mamlaka. Sababu ya kwanza inauliwa pia na udogo wa zanzibar.
Kwenye sababu ya kwanza nchi zozote zenye ukubwa na wingi wa unakaribiana kulingana wanaweza kuungana ili kuongeza nguvu na influence katika dunia, kila nchi hutoa baadhi ya mamlaka yake kwa serikali ya shirikisho na serikali ya shirikisho ndiyo itakayoshika damira na dira ya pamoja ya mataifa hayo kujiendeleza na kuinukia katika uso wa dunia.
Kwahiyo katika muungao wetu ni dhahiri ya kwamba ni muungano wenye dhamira ya kuunganisha watu tu na sio kuunganisha nguvu za mataifa haya mawili ni muungano wenye malengo ya kiundugu. Sio muungano wa kulifanya taifa hili liwe lenye nguvu. Kwa udogo wa Zanzibar sababu ya kwanza isingewezekana.
Baada ya kujua hili embu turudi katika mifumo ambayo inajadiliwa sana katika mchakato huu wa katiba tuanze na mfumo wa serikali tatu. Kuna sheria asilia katika nature ambayo ina balance nature. Hii inaitwa law of equilibrium. Naelezea sheria hii kuelezea mfumo wa serikali tatu jinsi gani ulivyo mgumu katika nature kila kitu kiko balanced that is how nature works. Hatuwezi kupefusha uzani huu pasipo muungano kuvunjika na kuna hatari kubwa kama muungano ukivunjika majaliwa ya tanganyika yatakuwa hatarini pia.
Tuna nchi mbili hapa Tuna tanganyika na zanzibar. Zenye ukubwa na uwiano wa watu unao tofautiana. Tanganyika ina watu millioni Arobaini na kitu wakati Zanzibar ina watu millioni moja tu na tunataka kutengeneza muungano wa serikali tatu. Hii ina maana ya kuwa taifa hili ligawanywe katika Mamlaka tatu; Yaani mamlaka ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mamlaka ya Tanganyika na Mamlaka ya Zanzibar kwa kawaida katika miungano ya namna hii kila taifa hutoa baadhi ya mamlaka yake kwa serikali ya shirikisho. Swali la kujiuliza Tanganyika itatoa mamlaka yake kiasi gani bila kukinzana na mamlaka ya serikali ya shirikisho ukizingatia udogo wa zanzibar? Equalization of power itakuwa wapi hapa? Ili kuwe na balance ni lazima serikali ya shirikisho iwe na mamlaka sawa kutoka kila upande ili kuwe na balance of power. Ni muhimu kutambua kwamba serikali hizi mbili ya Shirikisho na ya Tanganyika lazima zita collide tu. Na ziki collide sidhani kama tanganyika itabaki salama hakuna msalia mtume hapa. Msijaribu mifumo ambayo hamna uhakika nayo. Nasema tena udogo wa zanzibar unazuia uwezekano wa taifa hili kuwa shirikisho.
Mimi binafsi siruhusu zanzibar itoke mikononi mwa tanganyika ni bora itumike nguvu kuwazima wote ambao wana hatarisha amani ya nchi ni afadhali nguvu itumike kuwazima watu wachache kuliko madhara makubwa yatakayoikumba taifa hili sababu ya ujinga wa wehu wachache. Demokrasia ina mipaka yake inapofikia hatua ya kutaka kuua kiini cha nchi hiyo siyo demokrasia ni upuuzi. Hili Taifa lazima lisimame na zanzibar ni sehemu ya Tanzania mpaka kufa. Ile michanga iliyochanganywa haiwezi kugawanyika milele.