Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Hakuna busara dhidi ya magaidi.Nachojiuliza Hamas wanapata wapi silaha za kuhimili vita muda wote huo, hizo silaha zinaingiaje ikiwa Gaza yote imezungukwa, hii vita sasa inachosha sasa wakae tu mezani busara itumike.
Afungiwe silaha na nani?!Sa we jiulize hapo Israel ndio angekuwa kafungiwa silaha angeweza hata kufika week moja.
Kwa nn ya kejeli?Mungu(Allah) atakablie dua yako ya kejeli kwa Hamas
Unanikosea webabu,sio kejeli... Israel hatoboi hii vita. Atakimbia mwenyew Gaza. Allah yupo upande wa Hamas kila wanachofanya wanamsifu Allah hata walipokuwa wanamuuwa Mtanzania Joshua walikuwa wanamtukuza Allah hata walipokuwa wanarusha yale makombora Israel elfu 5 walirusha kwa jina la AllahMungu(Allah) atakablie dua yako ya kejeli kwa Hamas
Jibu sahihi kabsa lisilo na chembe ya dosariInategemea, kama kwa Hamas imewezekana kwanini kwa Israel ishindikane,
We Jamaa bhana hujui kwa nn hajadhibiti mji? Hemu waambieni Hamas watoke nyuma ya makalio ya wake zao na watoto. Waambieni wajitenge waende kwenye kambi za kijeshi kama wanazo halafu msikilizie masaa mawili tu kama kutakuwa ha Hamas gazaSasa Israel anasaidia na nchi zote kubwa lakini unaenda mwaka hajadhibiti mji
Hahaha! Hata mm huwa sielewi kabsa sijawahi kuona wala kusikia Al Jazeera kuwa Israel( Idf) imeuwa hata Hamas wanne kwa mkupuo huko Gaza. Yaani nasikiaga wanawake na watoto kila sikuNdio propaganda zenu wafia dini Ismail haniyeh, mohamed Deif ni mwanamke au ni watoto wameuawa
Hili nalo halihitaji hata elimu ya darasa la saba kulitambua.Hii vita imechukua muda mrefu kwa sababu israel anachangiwa na magaidi wote wa middle east kama hezbollah, houth, syria, houth na baba yao iran na zaidi magaidi wanavaa kiraia na kutumia miundombinu ya kiraia kama hospitali, misikiti shule na kusababisha israel ipigiwe kelele dunia inaua raia
Nikuambie kitu? Hemu wasaidie Israel kuwaonyesha kambi za kijeshi za Hamas zilipo ili hii vita iishe ndani ya masaa mawil tu. Tumechoka kusikia habari za kufa wanawake na watoto....! Unakumbuka siku wanaokolewa mateka wanne wa Israel walikufa Wapalestina 100*? Je hao mateka walikuwa wameshikiliwa na wanawake na watoto au miongoni mwao walikuemo na Hamas?Israel haipigani na Hamas lengo lao kubwa ni kuua Wapalestina wote na wauchukue ardhi yao ndiyo maana wanapiga mabomu kokote kwa kisingizio cha kuwasaka Hamas lakini hata hivyo wanakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Hamas hii inadhihirisha kwamba uwezo wao katika mapigano ni mdogo kwa sababu licha ya kupewa kila aina ya misaada na wafadhili wao lakini unakaribia mwaka sasa wameshindwa hata kuokoa mateka wao.
Kwahiyo hawajui mateka wapo wapi! Si mnawasifia kwamba wao ndiyo mabingwa wa ujasusi na hao Hamas wapo wengi kiasi gani hadi wanashindwa kuwaangamiza kwa mwaka mzima huku wakijinadi kudhibiti mipaka yote na kudhibiti kila kinachoingia na kutoka Gaza eneo ambalo linalingana ukubwa na wilaya ya Ilala! Acheni kuwakuza hawana lolote,hivi ingelikuwa Hamas wana silaha kama walizonazo wao ingekuwaje.Nikuambie kitu? Hemu wasaidie Israel kuwaonyesha kambi za kijeshi za Hamas zilipo ili hii vita iishe ndani ya masaa mawil tu. Tumechoka kusikia habari za kufa wanawake na watoto....! Unakumbuka siku wanaokolewa mateka wanne wa Israel walikufa Wapalestina 100*? Je hao mateka walikuwa wameshikiliwa na wanawake na watoto au miongoni mwao walikuemo na Hamas?
Hutaki tu kuelewa! Kwa sababu unazozijua wew. Tofautisha combat war na huo upuuzi unaoendelea gaza. Labda nikupe mfano vita ya Marekani na Iraq combat war ilipiganwa siku 21 tuuu...wanajeshi wa Marekani wakawa wamefka kila sehemu hadi Ikulu ya Saddam Hussein. Baada ya hapo hakuna askari wa Iraq aliyeonekana mtaani kavaa combat ilikuwa mwendo wa suicide bombs,road side bombs etc na ndo kipindy askari wa Marekani wamekufa wengi kuliko wakati wa combat war....! Waambie tu hamas watoke kwenye mashule na hospitals na kwenye kambi za wakimbizi...hakuhakikishia vita haimalizi masaa 24Kwahiyo hawajui mateka wapo wapi! Si mnawasifia kwamba wao ndiyo mabingwa wa ujasusi na hao Hamas wapo wengi kiasi gani hadi wanashindwa kuwaangamiza kwa mwaka mzima huku wakijinadi kudhibiti mipaka yote na kudhibiti kila kinachoingia na kutoka Gaza eneo ambalo linalingana ukubwa na wilaya ya Ilala! Acheni kuwakuza hawana lolote,hivi ingelikuwa Hamas wana silaha kama walizonazo wao ingekuwaje.
Huoni yuko ofisini hapo wanajua alipo.kujua mtu alipo na kumuua ni vitu viwili tofautiSINAWAR sijui anaishi wapi na anakula wapi?? Netenyahu linamsaka limuue limekaa pale muda wote huo wala halimuoni
Nimekusoma mkuuu😅🤣🤣🤣Si walijiandaa wakachimba na mahandaki ya chini kwa chini wakakusanya na silaha. Walipo maliza kujiandaa ndo wakavamia Israel tarehe 7/10...! Na vita ndo hiyo inaendelea tuwache wapigane tu watashinda kwa nguvu za Allah isitoshe Israel kashazidiwa sana kama walivyotabiri kina Faiza fox na kina Malalia na ma sheikh wengine
Kama ni hivyo basi sote tuseme AmiinKwa nn ya kejeli?
Unanikosea webabu,sio kejeli... Israel hatoboi hii vita. Atakimbia mwenyew Gaza. Allah yupo upande wa Hamas kila wanachofanya wanamsifu Allah hata walipokuwa wanamuuwa Mtanzania Joshua walikuwa wanamtukuza Allah hata walipokuwa wanarusha yale makombora Israel elfu 5 walirusha kwa jina la Allah
Aljazeera naamini hawajui.Kama wewe unawajua kawaoneshe walipoHahaha! Hata mm huwa sielewi kabsa sijawahi kuona wala kusikia Al Jazeera kuwa Israel( Idf) imeuwa hata Hamas wanne kwa mkupuo huko Gaza. Yaani nasikiaga wanawake na watoto kila siku
Na wale mabasha zake wanao kuja wapiga marungu kwenye ule mkusanyiko wa magay/lesbian huko Tela Avi. Hebu tazama taifa teule la mashoga lipo hatarini.Afungiwe silaha na nani?!
Uko sahihi.Hivi vita israel hapigani na hamas tu anapigana Iran, hezbollah, syria, houth, magaidi wa Iraq
Kumbe hiyo mbinu ilileta faida sana kwa wairaq mpaka mmarekani akajuta kuingia kichwa kichwa.Hutaki tu kuelewa! Kwa sababu unazozijua wew. Tofautisha combat war na huo upuuzi unaoendelea gaza. Labda nikupe mfano vita ya Marekani na Iraq combat war ilipiganwa siku 21 tuuu...wanajeshi wa Marekani wakawa wamefka kila sehemu hadi Ikulu ya Saddam Hussein. Baada ya hapo hakuna askari wa Iraq aliyeonekana mtaani kavaa combat ilikuwa mwendo wa suicide bombs,road side bombs etc na ndo kipindy askari wa Marekani wamekufa wengi kuliko wakati wa combat war....! Waambie tu hamas watoke kwenye mashule na hospitals na kwenye kambi za wakimbizi...hakuhakikishia vita haimalizi masaa 24