Acha kupotosha.Hivi vita israel hapigani na hamas tu anapigana Iran, hezbollah, syria, houth, magaidi wa Iraq
Iran hausiki wala Iraq hausiki.
Na hao Hizbollah na Houthi waliingilia walipoona USA na UK wametuma msaada wa kijeshi Israel.
Na wao wakaona hapana haiwezekaniki muingilie na sisi tumuache Hamas peke yake.
Kama una uhakika na unachoongea lete ushahidi.
Houthi kazi yake kuzuia meli za misaada ya silaha na mizigo kwenda Israel.
Hizbollah kazi yake kumdhoofisha na kumchanganya Israel kwa kumshambulia Kaskazini ili kupunguza makali Gaza.
Na hilo limefanikiwa.