Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas

Wewe una uhakika gani kama hapo ni sehemu alipolala Ismail Haniyeh!?
Unaweza ukathibitisha!?
Je kama hapo ni Galilaya Northern Israel palipolipuliwa na Hizbollah jana!??
Embu wacheni cheap propaganda.
Wewe jamaa ni brainless aiseeeh, unaomba uthibitisho wakati huo huo na wewe unakuja na your mere accusations.
 
Huyu Kosugi na Jagina linapokuja suala la msikiti wanajizima data. Akili inakuwa not reachable


YESU ANA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!

“Yesu akamwambia, Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu; na kwa Mungu wangu, na Mungu wenu.” [Yohana 20:17]

“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo…” (1 Petro 1:3)

“Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na elimu, ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )

Yesu (AS) alisema, “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]

"Yesu akawajibu, akasema, Mafundisho yangu si yangu, bali ni yake yeye aliyenipeleka." [Yohana 7:16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…