Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nashindwa kuelewa kwanini magaidi ukiwaona tu wanajulikana?Hamas imemteua YAHYA SINWAR, kiongozi wa kundi la HAMAS linaloungwa mkono na Iran huko Gaza, kuwa Mkuu wake mpya wa Ofisi ya Kisiasa kufuatia mauaji ya mtangulizi wake Ismail Haniyeh wiki iliyopita mjini Tehran.
YAHYA SINWAR alikaa miaka 22 katika magereza ya Israel. Akiwa gerezani alifahamu vyema lugha ya KIEBRANIA, na akawaua Wapalestina waliokuwa watoa habari kwa Israel. Aliamuru kunyongwa kwa Wapalestina wanaoshukiwa kufanya kazi kwa Israel.
Yahya Sinwar yuko JUU ya orodha ya Israeli ya watu wanaofuata kwa mauaji. Ni suala la muda tu. Sinwar anafikiriwa kuwa mastermind wa shambulio la Oktoba 7, na mnamo 2021, alitishia kurusha roketi 1111 katika shambulio la awali dhidi ya Israeli.
Israel ilimuua kiongozi huyo (Ismail Haniyeh) ambaye alikuwa "akijadiliana" kwa ajili ya kusitisha mapigano, na sasa Israel italazimika kukabiliana na kiongozi huyo mwenye msimamo mkali zaidi ambaye anataka kujenga upya uwezo wa kijeshi wa Hamas kwa muda mfupi.
View attachment 3063401
Hatimaye leo ametema bungoMODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.
Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.
Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo
View attachment 3063369
The Mongolian Savage unaikumbuka hii coment?
Killed in ActionMODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.
Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.
Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo
View attachment 3063369
Hahaha hahaha naikumbuka sana mkuu.The Mongolian Savage unaikumbuka hii coment?
Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas | Page 4 | JamiiForums Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas
🤣Mabikra zake 72 wajiandae mume wao anakuja soon
Duh, mkono mrefu wa mossad umempitia, ameenda kuwakuta wale 72 walioahidiwaMODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.
Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.
Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo
View attachment 3063369