Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas

Yahya Sinwar: Huyu Ndiye Kiongozi Mpya wa Hamas

Hamas imemteua YAHYA SINWAR, kiongozi wa kundi la HAMAS linaloungwa mkono na Iran huko Gaza, kuwa Mkuu wake mpya wa Ofisi ya Kisiasa kufuatia mauaji ya mtangulizi wake Ismail Haniyeh wiki iliyopita mjini Tehran.

YAHYA SINWAR alikaa miaka 22 katika magereza ya Israel. Akiwa gerezani alifahamu vyema lugha ya KIEBRANIA, na akawaua Wapalestina waliokuwa watoa habari kwa Israel. Aliamuru kunyongwa kwa Wapalestina wanaoshukiwa kufanya kazi kwa Israel.

Yahya Sinwar yuko JUU ya orodha ya Israeli ya watu wanaofuata kwa mauaji. Ni suala la muda tu. Sinwar anafikiriwa kuwa mastermind wa shambulio la Oktoba 7, na mnamo 2021, alitishia kurusha roketi 1111 katika shambulio la awali dhidi ya Israeli.

Israel ilimuua kiongozi huyo (Ismail Haniyeh) ambaye alikuwa "akijadiliana" kwa ajili ya kusitisha mapigano, na sasa Israel italazimika kukabiliana na kiongozi huyo mwenye msimamo mkali zaidi ambaye anataka kujenga upya uwezo wa kijeshi wa Hamas kwa muda mfupi.

View attachment 3063401
Yaani nashindwa kuelewa kwanini magaidi ukiwaona tu wanajulikana?
 
MODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.

Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.

Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo

View attachment 3063369
Hatimaye leo ametema bungo
Screenshot_20241017_194003_Parallel Space.jpg
 
MODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.

Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.

Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo

View attachment 3063369
Killed in Action
 
MODS: Mumeharibu uzi wangu kwa kuchanganya na habari za uwongo. Narudia ku-post upya. Tafadhali uacheni.

Yahya Sinwar ameteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Hamas kumrithi Ismail Haniyeh aliyeuliwa majuzi akiwa Iran na mazishi yake yalifanyika Qatar.

Yahya Sinwar ndiye aliyepanga na kuratibu mauaji ya October 7, 2023 huko Israel Kusini, na kusababisha vita ambavyo mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 38,000 kufariki na Wayahudi wapatao 1,200 kuuliwa. Bila kusahau Watanzania 2 pia wamekufa kwenye mgogoro huo

View attachment 3063369
Duh, mkono mrefu wa mossad umempitia, ameenda kuwakuta wale 72 walioahidiwa
 
Back
Top Bottom