Yai la kuku utalichemsha kwa dakika ngapi?

Yai la kuku utalichemsha kwa dakika ngapi?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
1609616_415312751935056_1183883287_n.jpg

Yai la kuku utalichemsha kwa dakika ngapi.png
 
Jiko gani...la mkaa, kuni, gas au umeme??? chombo gani...sufuria ya mchina, chungu, pressure cooker au? maeneo gani...Dar au Mlima Kilimanjaro?...kuku wa aina gani..kienyejiau kisasa nk?

huu ndio ukweli.
 
Mimi sijui kupika, lakini upishi wa yai nauweza, nitachemsha huku nikiwa najaribu kuligonga gonga na kijiko/uma nikiona linatoa ufa najua tayari
 
Siangalii dakika, nachemsha mpaka lipasuke ndo najua limeiva 100%.
 
Back
Top Bottom