Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

 
Narudia, Tanzania ni TAJIRI kuliko Angola, South Sudan au Nchi yoyote Africa.

Nasema kivingine, Africa Kwa ujumla wake imebarikiwa Kwa UTAJIRI mkubwa kuliko bara lingine lolote duniani.

Kwann bara la Africa Bado ni MASKINI?

Kama ni mzalendo Njoo na Suluhu ya matatizo matano makubwa yanayotukabili, UJINGA, MARADHI, UMASKINI, UONGOZI mbovu na RUSHWA.

Mimi nashauri vyama vibadilishwe na KATIBA mpya ziandikwe Ili kuleta ufanisi. CCM must DIE!!!!!!

Tunarudi pale pale:
RUSHWA,RUSHWA,RUSHWA,RUSHWA.
Huna facts zozote we kenge ndio maana huwezi kuleta data,nyie ndio mlikuwa mnamezeshwa upuuzi na Jiwe.
 
Ukome kuleta huo upuzi wa picha za vijarida Uchwara unadanganywa ni data.
Pale sukuma gang,endelea kutapatapa.😂😂..

Hakuna kuingiza watoto shule kwa mafungu kama ya Nyanya chini ya SSH,ujinga huo alifanya Mwamba wenu asiye na akili 😁😁

Tunajenga shule mpya za sekondari 214,

Vyumba vipya vya madarasa ya sekondari 7,900,

Vyumba vipya vya shule za msingi 1,700 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081014.png
    Screenshot_20220801-081014.png
    107.2 KB · Views: 3
  • 20220801_081022.jpg
    20220801_081022.jpg
    89.1 KB · Views: 3
  • 20220801_081121.jpg
    20220801_081121.jpg
    58.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220729-092649.png
    Screenshot_20220729-092649.png
    91.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220729-092707.png
    Screenshot_20220729-092707.png
    185 KB · Views: 2
Pale sukuma gang anapotapatapa 😂😂😂😂..

Hakuna kuingiza watoto shule kwa mafungu kama ya Nyanya chini ya SSH..

Tunajenga shule mpya za sekondari 214,

Vyumba vipya vya madarasa ya sekondari 7,900,

Vyumba vipya vya shule za msingi 1,700 👇
Mmekaririshwa Kila anayeleta hoja mbadala dhidi ya Serikali apewe Jina la S.Gang!!!!!

Mnaenda kukopa Ili kujenga madarasa na vyoo, RIBA ya mkopo ni ndani ya mwaka mmoja,

Hao wanafunzi ndani ya mwaka wataleta pesa kiasi Gani kusaidia kulipa Mkopo na riba?

Ninyi ndo mnatapata Hadi kuleta Kodi y KICHWA, Tozo Hadi Kutoa pesa mpesa na miamala ya bank, tozo Kila mahala.

Fikra zenu ZIMEKWAMA. Lazima mtaondoka hapo, 2025 Bado mbaal sana.
 
Mmekaririshwa Kila anayeleta hoja mbadala dhidi ya Serikali apewe Jina la S.Gang!!!!!

Mnaenda kukopa Ili kujenga madarasa na vyoo, RIBA ya mkopo ni ndani ya mwaka mmoja,

Hao wanafunzi ndani ya mwaka wataleta pesa kiasi Gani kusaidia kulipa Mkopo na riba?

Ninyi ndo mnatapata Hadi kuleta Kodi y KICHWA, Tozo Hadi Kutoa pesa mpesa na miamala ya bank, tozo Kila mahala.

Fikra zenu ZIMEKWAMA. Lazima mtaondoka hapo, 2025 Bado mbaal sana.
Zaidi ya sukuma gang na Chadomo kuna nani wengine?

Chadomo mnalilia Katiba huku sukuma gang wakitetea legacy..

Kwani ukikopa ukaimarisha nguvu Kazi kuna shida? Kwani hujui kwamba Afrika haina nguvu Kazi Bora licha ya kuwa na rasilimali? Kwa hiyo usikariri..

Hata hivyo hakuna mkopo hapo ,kuna tozo tuu.

Samia akikopa ujue mkopo una sura hii hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220728-232640_Opera.jpg
    Screenshot_20220728-232640_Opera.jpg
    36 KB · Views: 3
Baada ya namba moja kusema imekwisha wenye hekima waliona mbali nakujuwa kazi ipo mbele maana chuma kimelala.

Wajuvi wamambo waka angalia mwendo wa dereva na aina yagari alikuwa akiendesha wakasema jamani ee lifanyike jambo yes tutakanyaga katiba ila nibora mara mia maana hata hapo mwanzo tulisha kanyaga nakuisigina

Namba moja akiwa amesha lala muda mrefu idara zikabishana nakujifungia vyumba vya siri mwisho wakatoka walisema katiba ifuwatwe.

Wenye akili aka wanasiri wakasema uko mbele tujiandae najambo as we know the secret no one no. Je nisiri gani hiyo no one no.

Usiku Taifa likapewa Taarifa namba moja aka Mwamba wa Taifa amelala. Mwanaume alie tikisa Wizara mpaka miimili ya Taifa amelala.

Wajinga wengi wasio na data wakasema sasa maisha yatanoga na ili walambe utamu wa asali vizuri wakasema kumuuwa nyani mpe majina mabaya Mwamba wa Taifa akasakamwa kila kona ya Taifa yakwamba alikuwa mbaya na katili mtu ambaye hakufaa kuongoza Taifa.

Mmmm watu wanao ona kesho wakasema je haya majamaa yanajuwa yanachokisema? Wakapiga kimya nakusema wakati ni mwalim mzuri...ili wauwa nyani kupata wafuwasi wakatafuta watu wengi walikutana na rungu la Mzee.

Wakarudishwa ndani...
Ktk siku za mwisho kabisa ambapo wengi tuna amini ndio ulikuwa mwisho wakusikia dhihaka na kejeli nipale kijana mmoja alie wahi tuaminisha ndie walimtetea namba moja ila akavuna mabuwa asijuwe alikuwa ktk kikaango kupewa nafasi nyeti na mwamba alisema ktk kikao kimoja Mungu ameamua ugomvi wake na mzee mmoja akimanisha mwamba kuondoka imekuwa nafasi yake kipumua nakurud ktk wizara aliporwa mchana.

Mmmmm ndipo inasemekana mmmm inasemekana wana nguo nyeusi na macho meusi wakatoa stop yakutajwa kwa mwamba mm mmm toka hapo mwamba hatajwi na kila walicho kifanya kinyume na mwamba wanakirudisha kimya kimya.

Zipo tetesi nasema tetesi idara nyeti za mataifa ya magharobi kuna maamuzi hawakupenda ktk maswala ya usalama. Nauwenda yametuacha ktk kiza kinene.

Kupanda kwa hali ya maisha na vyakula kupaa huku wese likituacha tumelowa nimoja ya mambo yatakinukisha mbeleni.

Maelfu ya ajira nakupandisha mishahara pasipo kuangalia nakishi ya mampato nimoja nya mambo siku za mbeleni yatamuweka bench yule jamaa wa singida. Zipo tetesi wana uchumi na economic intelligence unity walitoa maoni yao ila hayakuwa consider so kama itathibitika basi mtu atakalia kuti kavu.

Ndugu zangu sisemi kwa ushabiki ila makosa makubwa yameshafanyika kwa sasa tutake tusitake kazi ya genius usije kuibeza kwa simple words Mwamba Mungu amlaze mahali pema peponi siku za mbeleni hotuba zake na siku yakifo chake zinakusisha hasi na chanya za Taifa. Sasa wa Tz wanajuwa zaid nia ya Mwamba na wanajuta kwa mawazo yao juu yake. Maisha hayatokuwa rahis kama tunavyo waza kupanda kwa bei ya nishati, mfumuko wa bei wa bidhaa adimu hasa chakula na hali ya siasa za kimataifa nimoja ya mambo yatakuwa mwiba mchungu kwa serikali na wa Tz.

Mwez wa kumi na mbili Marekani wameyatega Mataifa ya Africa na kama hamjuwi basi nibora mjuwe Marekani anatoa ma bilion ya pesa kwenye Afya na elim kwa africa. Ila kwa taarifa zisizo Rasmi Marekani wamekusudia kupunguza misaada kuanzia mwakani kwa mataifa yana support serikali za kiimla na

Wakati wa Kambale zilikatwa hela za MCC mkaja kutetea hapa, wale waliotetea suala la MCC Ndio leo wanakuja kusema suala la kupunguza misaada ya Marekeni na kwenda mbali zaidi kulaumu utawala wa sasa hivi
 
Zaidi ya sukuma gang na Chadomo kuna nani wengine?

Chadomo mnalilia Katiba huku sukuma gang wakitetea legacy..

Kwani ukikopa ukaimarisha nguvu Kazi kuna shida? Kwani hujui kwamba Afrika haina nguvu Kazi Bora licha ya kuwa na rasilimali? Kwa hiyo usikariri..

Hata hivyo hakuna mkopo hapo ,kuna tozo tuu.

Samia akikopa ujue mkopo una sura hii hapa 👇
Jibu swali, ukikopa ukajenga darasana vyoo, pesa ya kulipia mkopo na riba itoke wapi?

Kwann Kodi na makusanyo ya ndani yasijenge madarasa?

Mnakoelekea hata mishahara ya watumishi mtaenda kukopa.

Lazima
 
Back
Top Bottom