Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

 
Huna facts zozote we kenge ndio maana huwezi kuleta data,nyie ndio mlikuwa mnamezeshwa upuuzi na Jiwe.
 
Ukome kuleta huo upuzi wa picha za vijarida Uchwara unadanganywa ni data.
Pale sukuma gang,endelea kutapatapa.πŸ˜‚πŸ˜‚..

Hakuna kuingiza watoto shule kwa mafungu kama ya Nyanya chini ya SSH,ujinga huo alifanya Mwamba wenu asiye na akili 😁😁

Tunajenga shule mpya za sekondari 214,

Vyumba vipya vya madarasa ya sekondari 7,900,

Vyumba vipya vya shule za msingi 1,700 πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081014.png
    107.2 KB · Views: 3
  • 20220801_081022.jpg
    89.1 KB · Views: 3
  • 20220801_081121.jpg
    58.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220729-092649.png
    91.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220729-092707.png
    185 KB · Views: 2
Mmekaririshwa Kila anayeleta hoja mbadala dhidi ya Serikali apewe Jina la S.Gang!!!!!

Mnaenda kukopa Ili kujenga madarasa na vyoo, RIBA ya mkopo ni ndani ya mwaka mmoja,

Hao wanafunzi ndani ya mwaka wataleta pesa kiasi Gani kusaidia kulipa Mkopo na riba?

Ninyi ndo mnatapata Hadi kuleta Kodi y KICHWA, Tozo Hadi Kutoa pesa mpesa na miamala ya bank, tozo Kila mahala.

Fikra zenu ZIMEKWAMA. Lazima mtaondoka hapo, 2025 Bado mbaal sana.
 
Zaidi ya sukuma gang na Chadomo kuna nani wengine?

Chadomo mnalilia Katiba huku sukuma gang wakitetea legacy..

Kwani ukikopa ukaimarisha nguvu Kazi kuna shida? Kwani hujui kwamba Afrika haina nguvu Kazi Bora licha ya kuwa na rasilimali? Kwa hiyo usikariri..

Hata hivyo hakuna mkopo hapo ,kuna tozo tuu.

Samia akikopa ujue mkopo una sura hii hapa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220728-232640_Opera.jpg
    36 KB · Views: 3

Wakati wa Kambale zilikatwa hela za MCC mkaja kutetea hapa, wale waliotetea suala la MCC Ndio leo wanakuja kusema suala la kupunguza misaada ya Marekeni na kwenda mbali zaidi kulaumu utawala wa sasa hivi
 
Jibu swali, ukikopa ukajenga darasana vyoo, pesa ya kulipia mkopo na riba itoke wapi?

Kwann Kodi na makusanyo ya ndani yasijenge madarasa?

Mnakoelekea hata mishahara ya watumishi mtaenda kukopa.

Lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…