Yajue maajabu 20 ya maisha ya "walokole"

Yajue maajabu 20 ya maisha ya "walokole"

Mtumishi sijui kama we ni wa kike au kiume maana mtu anaweza kuweka avator/profile/status isiyo sahihi. Kwa jinsi ulivyo na unavyowasilisha mada nimevutiwa nawe kiasi cha kuuliza kama naweza kuona maono kwa lugha nyingine kuulizia kama jimbo liko wazi. Nadhani nitakuwa na ndoa imara yenye maadili ya kiungu
Hahaa, mke mwema hapatikani kwenye mitandao.
Soma Mithali 19:14.
 
Back
Top Bottom