Yajue madhara ya kujichua kwa wanawake na wanaume

Yajue madhara ya kujichua kwa wanawake na wanaume

Habarin wakuu nisiende mbali naomba nianze moja kwa moja kifupi mm nimfuasi muaminifu wa chaputa kuna dem wa kinyaturu nilimpata kimasihara tu nikampanga kiutan utani mara mtoto kaja gheto kilicho tokea sasa nikamuandaa kama nusu saa iv lkn cha ajabu uume wang haukuinuka hata mpaka alivyo unyonya bado wap wakuu baba mama bibi na vijana wenzang naomben ushaur wenu nifanyaje mm nimedumu chaputa kwa miaka 10 na nina miaka 22 kwa sasa naombeni ushauri nifanyaj spend hii hali plz naomben ushaur wenu nifanyaje mm maana nmikiw mwenyew Una simama kwa hasira mno lkn Leo umegoma
Fanya hivi..
1. Fanya mazoezi ya kukimbia, Anza hata kutembea kwa haraka na kukimbia then ukiwa vizuri kimbia full.
Anza na Km chache then utakua unaongeza.

2. Asubuhi kunywa chai yenye tangawizi nyingi + majani ya Parachichi + ndimu.
Yaani bandika maji sagia tangawizi then majani Weka 3 au 4 ya Parachichi.
Acha ichemke na kuiva halafu ikiwa kwenye kikombe kamulia ndimu then sukari kwa mbali then kunywa.

Hii utakunywa tupu then ndio uje kunywa chai uliyozoea.

3. Kunywa maji mengi kila siku, lita 2 mpaka 5. We kunywa tu, usisubiri kiu.

4. Fanya kegel execires.
Kila ukikaa sehemu ukiwa na nafasi fanya.
Fanyia kwenye daladala, kitandani yaani kokote unapopata nafasi.

Ni hayo tuu..

#YNWA
 
Hii kampeni yako ya kuwa nyeto ina madhara umefeli bro! Tafuta gia nyingine, mwaka wa 22 huu! Tatizo umekosa lishe usiisingize chaputa!!
 
Habarin wakuu nisiende mbali naomba nianze moja kwa moja kifupi mm nimfuasi muaminifu wa chaputa kuna dem wa kinyaturu nilimpata kimasihara tu nikampanga kiutan utani mara mtoto kaja gheto kilicho tokea sasa nikamuandaa kama nusu saa iv lkn cha ajabu uume wang haukuinuka hata mpaka alivyo unyonya bado wap wakuu baba mama bibi na vijana wenzang naomben ushaur wenu nifanyaje mm nimedumu chaputa kwa miaka 10 na nina miaka 22 kwa sasa naombeni ushauri nifanyaj spend hii hali plz naomben ushaur wenu nifanyaje mm maana nmikiw mwenyew Una simama kwa hasira mno lkn Leo umegoma
Acha zinaa
 
Andika kinyume cha mbuzi kafia kwa muuza supu.

🙆‍♀️🙆‍♀️😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Fanya hivi..
1. Fanya mazoezi ya kukimbia, Anza hata kutembea kwa haraka na kukimbia then ukiwa vizuri kimbia full.
Anza na Km chache then utakua unaongeza.

2. Asubuhi kunywa chai yenye tangawizi nyingi + majani ya Parachichi + ndimu.
Yaani bandika maji sagia tangawizi then majani Weka 3 au 4 ya Parachichi.
Acha ichemke na kuiva halafu ikiwa kwenye kikombe kamulia ndimu then sukari kwa mbali then kunywa.

Hii utakunywa tupu then ndio uje kunywa chai uliyozoea.

3. Kunywa maji mengi kila siku, lita 2 mpaka 5. We kunywa tu, usisubiri kiu.

4. Fanya kegel execires.
Kila ukikaa sehemu ukiwa na nafasi fanya.
Fanyia kwenye daladala, kitandani yaani kokote unapopata nafasi.

Ni hayo tuu..

#YNWA
Kegel exercise wafanyia vipi kwa daladala
 
Kegel exercise wafanyia vipi kwa daladala
Ukiwa umekaa tu au hata umesimama.
Unatulia na kulifanya.

Kegel ni kubana misuli ya pumbu huku unapumua.
Ukiona unabana huku huwezi kupumua ujue unakosea.

Kama huwezi kupumua poa jua unabana ya matako na sio ya pumbu.

#YNWA
 
Fanya hivi..
1. Fanya mazoezi ya kukimbia, Anza hata kutembea kwa haraka na kukimbia then ukiwa vizuri kimbia full.
Anza na Km chache then utakua unaongeza.

2. Asubuhi kunywa chai yenye tangawizi nyingi + majani ya Parachichi + ndimu.
Yaani bandika maji sagia tangawizi then majani Weka 3 au 4 ya Parachichi.
Acha ichemke na kuiva halafu ikiwa kwenye kikombe kamulia ndimu then sukari kwa mbali then kunywa.

Hii utakunywa tupu then ndio uje kunywa chai uliyozoea.

3. Kunywa maji mengi kila siku, lita 2 mpaka 5. We kunywa tu, usisubiri kiu.

4. Fanya kegel execires.
Kila ukikaa sehemu ukiwa na nafasi fanya.
Fanyia kwenye daladala, kitandani yaani kokote unapopata nafasi.

Ni hayo tuu..

#YNWA
Asante mkuu ctakaa nirudie haka kamchezo nimejuta
 
Ukiwa umekaa tu au hata umesimama.
Unatulia na kulifanya.

Kegel ni kubana misuli ya pumbu huku unapumua.
Ukiona unabana huku huwezi kupumua ujue unakosea.

Kama huwezi kupumua poa jua unabana ya matako na sio ya pumbu.

#YNWA
SORRY WAKUU KEGEL LINAFANYWA VIPI?NA HIYO MISULI INAYOBANWA NI IPI?
 
Back
Top Bottom