Yajue madhara ya kujichua kwa wanawake na wanaume

Yajue madhara ya kujichua kwa wanawake na wanaume

Brother tatizo lipo kubwa tu mimi kama wewe lkn saa iv madhara ni makubwa nipo 32 lkn mzigo hausimami
Una matatizo mengine. Nenda ukapime afya ya moyo wako. Utakuja kunishukuru baadaye.

Na sasa umeshapoteza confidence, hivi vinaweza kugeuka kuwa vita vya kisaikolojia zaidi. Pole sana!
 
Wewe kama huna nguvu huna tu punyeto watu tumeanza kupiga tuko shule za msingi mpaka tumeoa lakini hakuna cha mishipa sijui nguvu kupungua. Uzee tu ndo unatujia ndo tumepunguza...

Au nasema uongo CHAPUTA ndugu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli hakuna madhara yoyote nmekuwa mwanachama tangu 2000.
 
Wewe kama huna nguvu huna tu punyeto watu tumeanza kupiga tuko shule za msingi mpaka tumeoa lakini hakuna cha mishipa sijui nguvu kupungua. Uzee tu ndo unatujia ndo tumepunguza...

Au nasema uongo CHAPUTA ndugu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
fact kamanda[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom