Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Point sana umeongea. Ni vile serikali imekataa kuonesha ushirikiano kwenye EV ngoja tubaki na hybrid.kingine Ev ni nzuri sana ila hutaweza kwenda nayo mikoani coz hatuna sehem za kuchaji. na ev zenye range kubwa ni 500km per charge na ukiwa masafa range inaweza pungua sababu ya mwendo mkubwa na power utakayokuwa unatumia