Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Kipaso hewa hiki..sio?daihatsu boon umeiacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipaso hewa hiki..sio?daihatsu boon umeiacha
Nimeangalia comment humu watu wote wanao lalamika humu ni wenzangu na mie mara huyu Passo,RvR,prius,pajero etc
Lakini wale.wenzetu wenye vogue,hammer,evoque,Cadillac,Mercedes etc sijawasikia
Nimeangalia comment humu watu wote wanao lalamika humu ni wenzangu na mie mara huyu Passo,RvR,prius,pajero etc
Lakini wale.wenzetu wenye vogue,hammer,evoque,Cadillac,Mercedes etc sijawasikia
GX 110 sidhani kama kubadili engine hata ni option kama unafanya service kwa wakati. Magari Magumu sana haya.. Mengi yanakufa bodi ila engine ipo sahihi.Kwa muktadha huo Gx 100 vvti auto, inatakiwa ubadili engine baada ya km ngapi?
Ni kweli mkuu. Na wapishi wengi wanaharibu chakula. Kila siku unabadilisha gerejiMAGARI YA AINA YOYOTE NI MAZURI MIMI NI FUNDI WA MAGARI GARI NI UTUNZWAJI FANYA SERVICE KWA UANGALIFU UBAYA MAFUNDI WENGI UKIMPELEKEA AFANYE SERVICE UKIMWAMINI BASI GARI UTALIONA BOVU MAANA YEYE ANAJALI PESA TU HATOKUFANYIA SERVICE INAVYOTAKIWA KAMA HUTOMSIMAMIA
Nikabidhi hiyo laki nikakuonyeshe na bado inapiga mzigo dailyRvr ni gari mbovu kupta zote kama mwanza walzinunua sn saizi hata ukipewa laki utafte inayotembea unaikosa
Utakuwa umenunua gari uzeeni ww sio bureWaongo wakubwa mnadanganya umma mafundi wakishindwa kutengeneza gari ooh bovu mfano Cherokee mbona ipo pouwa
RvRKuna Mitsubishi flani Kama spacio za zamani zilivuma miaka 2002
Linaitwa mitsubishi rvr ilijulikana kama kitchen party kwakuwa zilivyotoka wanawake wengi walizikimbilia