Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

nilinunua gx 100 mwaka 2011, kuna mtu nilimuazima akapita nayo uchochoroni akaaribu antena ya mbele ambayo huwaka kwa kubonyezwa ndani.fundi kumpelekea akaing'oa.
mara ya pili sait mirrow ilikuwa inatoa mlio wa mota kama haitali kuzima fundi akaikata waya ikawa upande mmoja inafunga mmoja haifungi..
nilipokuja jua mafundi wa karume,kiukweli vitu vingi nakiri walinihatibia gari wale wa kule jirani na kwetu.
ningewashauri waende na wakati.kuna siku ililetwa nissani fundi anasema hajui anaanza wapi kufungua.anafikiria kufungua bila ya diagonosis ya kujua nini tatizo.
 
Mkuu ungetaja na sababu ungekuwa umefanya la maana sana.

Magari ya kisasa sisi wabongo.hatuyawezi harafu kuna magari sio kwamba ni mabovu lkn sisi kuyatumia ndio hatuwezi ubaya au uzuri asilimia.90 tunanunua used.

Mfano kama hiyo mazda rx8 ni bonge moja ya gari rotar engine sports car ya ukweli ina cc ndogo sana lkn balaa lake sio dogo.sijui subaru inatakiwa kujipanga kweli kweli.

Ubaya wake mkubwa ni kuwa tokea imenunulia km 0 ukiitembelea baada ya km kadhaa,hapa sikumbuki vizuri idadi kamili ya km lazima ubadilishe engine hakuna namna yakufanya au kurepair zaidi ya kubadili engine.

Kama kuna mtu anaufaham na rotar engine ufanyaji wake kazi atakuwa amenisoma.

So wabongo tunakwenda kununua gari ambayo ishatumika ukitumia miezi miwili mitatu km za kubadili engine zimefika,au unanunua ikiwa km zishaisha hapo lazima utamaliza mafundi kwa kubadili plug sijui,nozel,petrol filter matakataka chungu.mzima mwishowe unaishia kuweka engine ya toyota sasa hapo sijui gari ndio bovu au mnunuaji mtumiaji ndio mbovu
 
Mkuu ungetaja na sababu ungekuwa umefanya la maana sana.

Magari ya kisasa sisi wabongo.hatuyawezi harafu kuna magari sio kwamba ni mabovu lkn sisi kuyatumia ndio hatuwezi ubaya au uzuri asilimia.90 tunanunua used.

Mfano kama hiyo mazda rx8 ni bonge moja ya gari rotar engine sports car ya ukweli ina cc ndogo sana lkn balaa lake sio dogo.sijui subaru inatakiwa kujipanga kweli kweli.

Ubaya wake mkubwa ni kuwa tokea imenunulia km 0 ukiitembelea baada ya km kadhaa,hapa sikumbuki vizuri idadi kamili ya km lazima ubadilishe engine hakuna namna yakufanya au kurepair zaidi ya kubadili engine.

Kama kuna mtu anaufaham na rotar engine ufanyaji wake kazi atakuwa amenisoma.

So wabongo tunakwenda kununua gari ambayo ishatumika ukitumia miezi miwili mitatu km za kubadili engine zimefika,au unanunua ikiwa km zishaisha hapo lazima utamaliza mafundi kwa kubadili plug sijui,nozel,petrol filter matakataka chungu.mzima mwishowe unaishia kuweka engine ya toyota sasa hapo sijui gari ndio bovu au mnunuaji mtumiaji ndio mbovu
Unachosema kweli coz niya yangu ni kuambia watu wasinunue magari hayo yajiwa used lamda kama ni mpya lakin kama used usisubutu kununua izo gari hapo
Iyo mazda mr8 kuna kaka yangu moja alipata ela za puh akanunua iyo gari mateso aliyopata namuonea huru sana mpaka leo hii lipo juu ya jiwe coz katengeneza sana bila mafanikio
 
Labda kuna ukweli ama la, but mafundi wetu wengi wenye ufundi wa kurithi toka kwa mjomba, sijui after std7 basi anashinda gereji after few years ni fundi, basi kitu ikimshinda anaanza gari mbovu, haifai, rumors zinatapakaa, jamani mafundi wetu muende shule, gari nyingi sasa hivi ni so electric mda sio mrefu wachina ndo watakua mafundi wetu
Mafundi hawa wanaotumia nyundo kufungua kitu?unapeleka gari kurekebisha tatizo unaondoka na tatizo jengine...teeh teeh teeh
 
Unachosema kweli coz niya yangu ni kuambia watu wasinunue magari hayo yajiwa used lamda kama ni mpya lakin kama used usisubutu kununua izo gari hapo
Iyo mazda mr8 kuna kaka yangu moja alipata ela za puh akanunua iyo gari mateso aliyopata namuonea huru sana mpaka leo hii lipo juu ya jiwe coz katengeneza sana bila mafanikio
Hembu niunganishe naye mkuu kama anaweza kuiuza tufanye naye biashara.gari iko powa sana hiyo naikubali hatari
 
Mkuu kwenye jeep grand chorokee hapo nitakuping mpaka sekunde ya mwisho.hembu fafanua hapo unapozungumzia jeep unazungumzia jeep ipi labda.kuna grand chorokee ya diesel na petrol. Na ubovu wake ni upi maana hiyo gari ni roho ya paka hatari engine yake mpaka body inaoza yenyewe bado inadunda
 
Mkuu kwenye jeep grand chorokee hapo nitakuping mpaka sekunde ya mwisho.hembu fafanua hapo unapozungumzia jeep unazungumzia jeep ipi labda.kuna grand chorokee ya diesel na petrol. Na ubovu wake ni upi maana hiyo gari ni roho ya paka hatari engine yake mpaka body inaoza yenyewe bado inadunda
Angalia izo youtube link nilizoweka hapo wanaelezea vizur na matatizo yake,kutokana na watumiaji walivyolalamiki kwny kampuni
 
Back
Top Bottom