ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
nilinunua gx 100 mwaka 2011, kuna mtu nilimuazima akapita nayo uchochoroni akaaribu antena ya mbele ambayo huwaka kwa kubonyezwa ndani.fundi kumpelekea akaing'oa.
mara ya pili sait mirrow ilikuwa inatoa mlio wa mota kama haitali kuzima fundi akaikata waya ikawa upande mmoja inafunga mmoja haifungi..
nilipokuja jua mafundi wa karume,kiukweli vitu vingi nakiri walinihatibia gari wale wa kule jirani na kwetu.
ningewashauri waende na wakati.kuna siku ililetwa nissani fundi anasema hajui anaanza wapi kufungua.anafikiria kufungua bila ya diagonosis ya kujua nini tatizo.
mara ya pili sait mirrow ilikuwa inatoa mlio wa mota kama haitali kuzima fundi akaikata waya ikawa upande mmoja inafunga mmoja haifungi..
nilipokuja jua mafundi wa karume,kiukweli vitu vingi nakiri walinihatibia gari wale wa kule jirani na kwetu.
ningewashauri waende na wakati.kuna siku ililetwa nissani fundi anasema hajui anaanza wapi kufungua.anafikiria kufungua bila ya diagonosis ya kujua nini tatizo.